Naibu Waziri wa Afya, Dk. Faustine Ndugulile akemea udhalilishaji watoto zoezi la RC Makonda

naibu Waziri ananguvu sana kimamlka katika wizara inayomuhusu kitaifa na kiprotocal Mkuu wa mkoa mdgo kwa wazr au naibu Waziri, y a jidai kukemea vyombo vya habari wakati ofisi ya Mkuu wa mkoa imewapa uhuru pale ofisin kuchukua matukio. ...amkee makonda na ofisi yake moja kwa moja thus simpleee

Mkuu hili wote tunalijua na ni kwa mujibu wa katiba yetu pendwa lakini uhalisia wa mambo hasa nyakati hizi ambazo some privileged carry laws on their own hands mambo ni kinyume. Sitashangaa ndani ya siku chache huyu naibu waziri yakimkuta ya kumkuta kutokana na kauli yake hii ya kumpinga prince wetu.
 
Unaweza kuta mwanamke alifahamu fika kuwa huyu ni mume wa mtu ila akalala naye isitoshe siku ya hatari akamtegea mimba huku akitarajia kupata msaada.

Bora Mkuu wa mkoa angewapa mafundisho ya maadili waache kudanga na kujiuza na wavae kiheshima, haya yasingekuwepo kwa wingi huo.
 
Rafiki yangu Dr. Ndugulile, anaedhalilisha watoto ni huyo RC kwa misifa yake sio vyombo vya habari. Tena yeye anataka viende virecord kila kitu ili apate misifa. Mwandikie yeye umweleze aache hayo anayofanya. (ila chukua tahadhari yasije kukukuta kama ya wenzako, si wajua tena Dr?).
 
Ktk sakata la Nape, Bashite alisema yeye anawazifa sawa Na Waziri Na mteuzi Tu ndie anayeweza mpiga kibesi.

Vipi huyu naibu waziri
 
Kuna haja gani kuwajaza watu pale Ilala?Kwanini asingewaagiza waende kwenye ofisi za ustawi wa jamii zilizopo ktk kila halmashauri?
 
Hiyo ya kuitana chemba ndio inazalisha watoto wanaolelewa na mzazi mmoja kwa mateso.

Tunazo taratibu nyingi tu za utatuzi wa matatizo ya kijamii, lakini mpaka leo hazijawahi kutusaidia.

Urasimu ni mwingi kwenye utekezaji wa hizi hizi diplomatic ways of solving problems.
Hakuna lolote litakalotatuliwa hapo hao wanawake watarudi nyumbani waendelee na maisha yao isipokuwa wachache waliopangwa kwa lengo maalumu ndio watapata vijisenti kidogo. Haya mambo yanaweza kutatuliwa kwa mifumo na taasisi imara lakini siyo na mtu au kiongozi mmoja tu anaibuka na kutafuta njia yake binafsi kwaajili ya kujipatia umaarufu. Baada ya muda utaona kimya kama ilivyo kuwa kwa vita ya madawa, walimu kupanda daladala bure, msaada wa kisheria kwenye viwanja/ardhi, shisha, maandamano na wasanii nk nk. Hakuna consistance kwakuwa haipo kitaasisi bali mtu kutafuta cheap popularity. Walengwa hapa wanaotengenezewa kashfa ni viongozi wa dini- kisa NYARAKA, viongozi wa upinzani hasa CDM, baadhi ya wabunge wenye maoni tofauti na serikali ndio maana hata katika taarifa yake hajasema wanajeshi, polisi, walimu, mawaziri, nk. Zipo taasisi na wizara zenye wajibu wa kushughulikia mambo hayo hao wanawake waende huko. Sijasikia kuwa kuna mwanamke alifuatilia huko akakwama wengi wameenda kwa mihemko ya wito

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Utawala wowote unaoondoka kwenye mifumo na taasisi rasmi na kuanzisha utaratibu binafsi Katika kutekeleza kazi za jamii, ni ishara mbaya sana kama taif
 
mambo ya jamii yanataka na kusisitiza kutunza utu na staha za watu. hakika ulichokifanya ni aibu kwa taifa na kwako pia. watoto wadogo hawapigwi picha kiholela na kuanikwa hovyo. ulitahadharishwa lakini kwakuwa una mapungufu kwenye ubongo na makuzi yyako ukajitia kichwa ngumu na kuufanya unyanyasaji dhidi ya watoto. (emotional abuse). leo dunia inajua kuwa watoto wa Tanzania wamenyanyaswa na wenye mamlaka.
usiri. mambo ya mahusiano yanahiji usiri (confidentiality) umeyafanya hadharani tena mbele ya makamera.umevunja usiri. siri gani wakati unataka uonekane unafanya kazi? ipo siku utaanikwa wewe sijui utajisikiaje?
dhana ya mtoto. huijui ? mtu wa miaka 20 anawezaje kusema ametelekezw? uliita watoto au kinamama?
japo huambiliki lakini haya uyafanyayo hayana mwisho mwema kwa Tanzania
 
mambo ya jamii yanataka na kusisitiza kutunza utu na staha za watu. hakika ulichokifanya ni aibu kwa taifa na kwako pia. watoto wadogo hawapigwi picha kiholela na kuanikwa hovyo. ulitahadharishwa lakini kwakuwa una mapungufu kwenye ubongo na makuzi yyako ukajitia kichwa ngumu na kuufanya unyanyasaji dhidi ya watoto. (emotional abuse). leo dunia inajua kuwa watoto wa Tanzania wamenyanyaswa na wenye mamlaka.
usiri. mambo ya mahusiano yanahiji usiri (confidentiality) umeyafanya hadharani tena mbele ya makamera.umevunja usiri. siri gani wakati unataka uonekane unafanya kazi? ipo siku utaanikwa wewe sijui utajisikiaje?
dhana ya mtoto. huijui ? mtu wa miaka 20 anawezaje kusema ametelekezw? uliita watoto au kinamama?
japo huambiliki lakini haya uyafanyayo hayana mwisho mwema kwa Tanzania
Haha ati haambiliki...apo ndio umemaliza
 
Back
Top Bottom