figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda, Mhandisi Stella Manyanya amemtumbua Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC) huku akiwakumbusha TBS na Taasisi nyingine kujitafakari.
Naibu Waziri huyo amechukua aumuzi huo wakati wa mahafali ya Chuo cha Biashara (CBE).
Naibu Waziri huyo amechukua aumuzi huo wakati wa mahafali ya Chuo cha Biashara (CBE).