Naibu waziri: Ulaji nyama na maziwa kwa Watanzania bado changamoto

Tutakula maharage badala ya nyama


Tena protini itokanayo na mazao ya jamii ya mikundekunde ndiyo hushauriwa kutumika kiafya zaidi kuliko protini zitokanazo na wanyama kama nyama na samaki .

Mtu akiweza kula maharagwe, choroko, kunde, mbaazi, njegere, njugumawe n.k atakuwa na afya njema zaidi kuliko mia nyama mara kwa mara
 
Huku tupo uchumi wa kati
Huku nyama hailiki, maziwa hayanyweki
Nafikiri nahitaji kuketi nielimishwe
 
Tena protini itokanayo na mazao ya jamii ya mikundekunde ndiyo hushauriwa kutumika kiafya zaidi kuliko protini zitokanazo na wanyama kama nyama na samaki .

Mtu akiweza kula maharagwe, choroko, kunde, mbaazi, njegere, njugumawe n.k atakuwa na afya njema zaidi kuliko mia nyama mara kwa mara
Wanatufanya hatujui. Kuna watu hawali nyama na hawajapungukiwa hayo wanayoyasema
 
Hawa wataalamu wetu ni wakuwasikiliza kwa sikio moja tu. Si wa kuwaamini moja kwa moja.
 
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk.Rashid Tamatamah amesema Watanzania hawajafikia kiwango cha kimataifa cha ulaji wa nyama ambacho ni kilo 50 kwa mtu mmoja kwa mwaka

Hashim Rungwe alitaka kugawa nyama na ubwabwa ili kufikia hivyo viwango akazuiwa
 
Watu walioshindwa kuweka umeme kwenye nyumba zao kwa 27,000 watapata wapi pesa ya kula nyama na kunywa maziwa? hadi harusi ,sikukuu au wasombwe kwenye malori ya ccm kuletwa mjini kwenye mikutano ya kampeni zao
 
Sisi kwetu ni wafugaji!Ila siku mbuki siku wamechinjaa mbuzi au ng'ombe Kama kiburudisho tu,atachinjwaa akiwa anaunwa taabani,atachinjwaa kukiwa na msiba au harusi.mbuzi karibia Mia nne na bado wanazaa Ila hakunaa kutafuna.huu ulikuwa ujinga sanaa
 
Watu walioshindwa kuweka umeme kwenye nyumba zao kwa 27,000 watapata wapi pesa ya kula nyama na kunywa maziwa? hadi harusi ,sikukuu au wasombwe kwenye malori ya ccm kuletwa mjini kwenye mikutano ya kampeni zao


Yani inasikitisha sana !

Watu wanaishi kwa kula mlo mmoja tu kwa siku na hiyo Ndiyo maana hasa ya umasikini.

Na kwa kule kuwa Ignorants wanadanganyika kirahisi hususa wakati huu wa Campaign na uchaguzi,

Wakipewa T-shirt, kofia n.k wanarubunika.
 
Yani inasikitisha sana !

Watu wanaishi kwa kula mlo mmoja tu kwa siku na hiyo Ndiyo maana hasa ya umasikini.

Na kwa kule kuwa Ignorants wanadanganyika kirahisi hususa wakati huu wa Campaign na uchaguzi,

Wakipewa T-shirt, kofia n.k wanarubunika.
Ndio maana huwa nasema cdm wasije kujidanganya kwenda kupoteza pesa na mda eti kufanya kampeni kwa watu wa dizaini hii ambao kwao umaskini ni sehemu ya maisha yao hawaelewi wala kuambilika maana wana udumavu wa akili na kupaushwa na umaskini,hawa huwezi wasimulia maendeleo au mambo ya kuhitaji uelewa wakabadilika wanachojua wao ni ccm tu..Usimsaidie maskini achana nae
 
Sisi kwetu ni wafugaji!Ila siku mbuki siku wamechinjaa mbuzi au ng'ombe Kama kiburudisho tu,atachinjwaa akiwa anaunwa taabani,atachinjwaa kukiwa na msiba au harusi.mbuzi karibia Mia nne na bado wanazaa Ila hakunaa kutafuna.huu ulikuwa ujinga sanaa
Ni ujinga ukiwa huelewi....sisi wafugaji mifugo sio chakula mifugo ni mali.....kwanini ni haribu mali yangu kwa shida isiyo ya muhimu....nikichinja damu na maziwa ntaipata wapi?......mifugo kwetu ni source ya security
 
Ndio maana huwa nasema cdm wasije kujidanganya kwenda kupoteza pesa na mda eti kufanya kampeni kwa watu wa dizaini hii ambao kwao umaskini ni sehemu ya maisha yao hawaelewi wala kuambilika maana wana udumavu wa akili na kupaushwa na umaskini,hawa huwezi wasimulia maendeleo au mambo ya kuhitaji uelewa wakabadilika wanachojua wao ni ccm tu..Usimsaidie maskini achana nae


Nazani kinachotakiwa ni kuwapa elimu ya uraia na elimu ya mpigakura na zaidi ya hayo yamkini wataelewa.

Kule wanatishiwa wanaambiwa mkichagua upinzani wataleta vita, Eti zamani walikuwa wanawawekea hadi video za kuonesha vita lakini sizani kama ni kweli.

Mikoani huko raia wanaogopa hadi polisi kama enzi za ukoloni.

Kwamba kujua askari ni Mtumishi wao anayelipwa kwa kodi wanazolipa wao wananchi kupitia ushuru wa bidhaa na fine mbalimbali wanazotozwa na serikali hiyo hawajui.

Kwamba askari ni Mtumishi wao wa kuwalinda wao na mali zao hiyo hawajui.

Kwamba kuwa polisi ni mgawanyo wa majukumu tu hilo hawalijui.

Kazi ipo kubwa aisee!

Yani hata nchi jirani zinazotuzunguuka mfano Zambia , Malawi na Kenya wako mbali sana!
 
Back
Top Bottom