beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande amesema Serikali inafanya tathmini ya hatua mbalimbali zinazopaswa kuchukuliwa kwa kila Sekta ili kukabiliana na athari zinazotokana na Hali ya Kisiasa ikiwemo Vita ya Urusi na Ukraine
Ameeleza hayo baada ya Mbunge Nancy Hassan Nyalusi kuhoji ni hatua gani zinachukuliwa kukabiliana na athari za kiuchumi zinazotokana na Hali ya Kisiasa Duniani
Aidha, Mbunge huyo amehoji ikiwa Serikali haioni umuhimu wa kufuta VAT kwa Wazalishaji wa Mafuta ya Kula ndani ya Nchi ambapo Naibu Waziri amesema, "Suala hili linahitaji Wataalamu"
Ameeleza hayo baada ya Mbunge Nancy Hassan Nyalusi kuhoji ni hatua gani zinachukuliwa kukabiliana na athari za kiuchumi zinazotokana na Hali ya Kisiasa Duniani
Aidha, Mbunge huyo amehoji ikiwa Serikali haioni umuhimu wa kufuta VAT kwa Wazalishaji wa Mafuta ya Kula ndani ya Nchi ambapo Naibu Waziri amesema, "Suala hili linahitaji Wataalamu"