MWAKISALU
Senior Member
- Nov 1, 2013
- 100
- 46
Ndugu zangu nashindwa kuelewa, kwanini ma-naibu waziri na ma-katibu wakuu hawajajiuzulu baada ya mawaziri kijiuzuri? Waziri kwa nafasi kubwa sana anategemea kushauriwa na naibu waziri na makatibu wakuu. Hivyo kuchemka kwa mawaziri ni kuchemka kwa hawa wengine. Sijui wenzangu mnaonaje uhusiano huo?