Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Ndulane kashinda kwa kura halali.... Nikiwa kama mmoja wa Wasimamizi wa uchaguzi katika hilo jimbo nina uhakika kashinda kwa kura halali.... Ila kura za maoni ndani ya chama alipigwa chini, watu wakampa jimbo agombee wakamkata aliyeongoza(shida iko hapa).
Mungu anawaangaza mchana kweupe......!!!
Huyo kalazimishwa kuwa Mmbunge kwa KURA ZA WIZI ndo maana ameshindwa kula kiapo.?...!!!
 
Ndulane kashinda kwa kura halali.... Nikiwa kama mmoja wa Wasimamizi wa uchaguzi katika hilo jimbo nina uhakika kashinda kwa kura halali.... Ila kura za maoni ndani ya chama alipigwa chini, watu wakampa jimbo agombee wakamkata aliyeongoza(shida iko hapa).
Mimi kama raia mwema na mzalendo wa nji hii nina hakika Ndulane hakushinda kwa kura halali! Kila mtanzania mpenda Demokrasia ameshuhudia wizi wa kura na madudu mengine yaliyoonekana wakti wa Uchaguzi wa 2020.
 
Usinibishie mimi sio mataga, nakwambia ndulane kachaguliwa kihalali na wananchi.... Wala hatukupata tabu ya kuiba kura katika hili jimbo.... Vedasto kapigwa chini kihalali kwanza kilwa kaskazini hakuna Cuf..... Ccm ni wengi mno katika hili jimbo...... Jimbo lenye walakini ni kilwa kusini
Mimi kama raia mwema na mzalendo wa nji hii nina hakika Ndulane hakushinda kwa kura halali! Kila mtanzania mpenda Demokrasia ameshuhudia wizi wa kura na madudu mengine yaliyoonekana wakti wa Uchaguzi wa 2020.
 
Hii sasa ni kali.



Awali Naibu waziri wa fedha ilibidi arudie kula kiapo zaidi ya mara 5 kwa sababu sehemu iliyoandikwa "Baraza la Mawaziri" yeye alitamka " Baraza la Mapinduzi"

Kali ya mwaka ni huyu Naibu waziri wa madini Francis Ndulane ambaye amekuwa akisoma kiapo huku akitetemeka na hivyo kuwekwa pembeni ili waapishwe wengine.

Wakati wa hotuba yake Rais Magufuli amesema atateua Naibu waziri mwingine wa madini baada ya Francis kufeli kula kiapo.

Sijajua manaibu waziri hawa wana mchecheto gani!

Maendeleo hayana vyama!

Updades: Rais Magufuli ateua Naibu Waziri wa Madini Mwininge
= > Rais John Magufuli amteua Profesa Shukrani Manya kuwa Mbunge na Naibu Waziri wa Madini, baada Francis Ndulane kushindwa kuapa

mama SAMIA mkumbuke huyu jamaa wa TISS aliyeshindwa kuapa, mpe hata ukuu wa wilaya CHATO katika teuzi zake za jumatano hii
 
Back
Top Bottom