Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Naomba nimkumbushe Naibu Waziri wa AFYA juu ya kauli zake mbili tofauti juu ya chanjo kwa marais wawili ndio zinazomfanya Askofu Gwajima alipuke na Kuwambia viongozi waache vigeugeu.
Wakati wa utawala wa Magufuli Naibu Waziri mollel alipinga chanjo
Wakati wa utawala wa Samia, Naibu Waziri Mollel anaikubali chanjo.
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Wakati wa utawala wa Magufuli Naibu Waziri mollel alipinga chanjo
Wakati wa utawala wa Samia, Naibu Waziri Mollel anaikubali chanjo.
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app