Naibu Waziri: Marufuku kufunga minada ya ng'ombe na samaki kwa kisingizio cha Corona

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,566
Naibu waziri wa mifugo na uvuvi mh Ulega amesema ni marufuku kwa watendaji kufunga minada ya ng'ombe na samaki kwa kisingizio cha Corona.

Naibu waziri amesema hayo alipokutana na wafanyabiashara wa soko la ferry jijini Dar na amewataka kuzingatia masharti ya ugonjwa huo.

Source: ITV
 
johnthebaptist,
Unajiuliza corona had imefika USA Africa iwe ilichelewa kufika?
Et April ndo kutakuwa na mlipuko ..... Wacha shughuli ziendelee maana hata zikizuiwa umeshafika na uwezo wa kupambana nao hatuna .... Itoshe tu Tufanye tunajua style yetu ya umavumbi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom