Naibu Waziri Mahiza na kejeli kwa walimu

Mkuu heshima mbele, sijakupata sawa hapo kwenye bold..kwa maana angewadanganya au angewapiga siasa na kukwepesha ukweli ama...?

Huwezi kumwambia mwalimu, anayefanya kazi ngumu na kulipwa mshahara mdogo, katika nchi ambayo unemployment haipimiki kwa ukubwa, kwamba atafute kazi nyingine kama hataki mshahara mdogo.

Hii ni sawa na kumwambia "pika pilau" mtu anayekufa na njaa kwa sababu hana hata unga wa kupika ugali.

Naibu Waziri alitakiwa kuona hili kama challenge na kulifanyia kazi.Hata kama si kwa kuongeza mshahara, serikali inaweza kuanzisha program nyingi tu na nzuri tu za kuwajali walimu na kuwapunguzia ugumu wa maisha.Nchi nyingi zina program kama hizi wa watumishi wa serikali na walimu, ambao traditionaly hawalipwi mishahara minono lakini wanakuwa comensated otherwise.Sisi kwetu tatizo mishahara si mizuri, haiji kwa wakati, halafu hamna hata perks zozote za maana za kuwafuta jasho walimu.Naibu Waziri, kwa sababu yeye alishawahi kuwa mwalimu, angewaeleza amefanya nini kuboresha hali ya walimu, the fact kwamba hajakuwa na chochote cha kusema inaonyesha hakufanya kitu na yeye ni kama robot tu anayesubiri amri za handlers wake waliomuweka pale.

Naibu Waziri anashindwa kuelewa kwamba walimu wana haki ya kulipwa mishahara inayokidhi mahitaji, na kwamba mtu mwenye mapenzi na ualimu, kimsingi halazimiki kuacha ualimu ati kwa sababu tu ualimu haulipi, hili ni kosa, ni utovu wa haki za binadamu zinazompa kila mtu kuwa na uhakika wa kuendesha maisha yake kwa ujuzi wake, ilimradi asivunje sheria.Sasa naibu waziri anasema hawa walimu wanafunzi waende kutafuta kazi nyingine, vipi kama mtu wito wake katika maisha ni ualimu?

This is typical of our leaders -or should I say misleaders- kuacha interesting problems zikae bila kupewa solutions na badala yake kuwa bulldoze watu kwa decrees za kisultani zinazoonyesha kutojali, kutotaka kutoa suluhu, kutoelewa kwamba uongozi ni dhamana na utumwa kwa wananchi -wakiwamo hao walimu wanafunzi- na umangimeza uliokubuhu ulimbukeni wa ubwanyenye ghafi.

Kauli hii imekaa kimtaani taani na kwa watu wote wenye kufuatilia maswala ya elimu kwa makini, naibu waziri alitakiwa kuwaomba msamaha walimu wanafunzi hawa.
 
Huwezi kumwambia mwalimu, anayefanya kazi ngumu na kulipwa mshahara mdogo, katika nchi ambayo unemployment haipimiki kwa ukubwa, kwamba atafute kazi nyingine kama hataki mshahara mdogo.

Hii ni sawa na kumwambia "pika pilau" mtu anayekufa na njaa kwa sababu hana hata unga wa kupika ugali.

Naibu Waziri alitakiwa kuona hili kama challenge na kulifanyia kazi.Hata kama si kwa kuongeza mshahara, serikali inaweza kuanzisha program nyingi tu na nzuri tu za kuwajali walimu na kuwapunguzia ugumu wa maisha.Nchi nyingi zina program kama hizi wa watumishi wa serikali na walimu, ambao traditionaly hawalipwi mishahara minono lakini wanakuwa comensated otherwise.Sisi kwetu tatizo mishahara si mizuri, haiji kwa wakati, halafu hamna hata perks zozote za maana za kuwafuta jasho walimu.Naibu Waziri, kwa sababu yeye alishawahi kuwa mwalimu, angewaeleza amefanya nini kuboresha hali ya walimu, the fact kwamba hajakuwa na chochote cha kusema inaonyesha hakufanya kitu na yeye ni kama robot tu anayesubiri amri za handlers wake waliomuweka pale.

Naibu Waziri anashindwa kuelewa kwamba walimu wana haki ya kulipwa mishahara inayokidhi mahitaji, na kwamba mtu mwenye mapenzi na ualimu, kimsingi halazimiki kuacha ualimu ati kwa sababu tu ualimu haulipi, hili ni kosa, ni utovu wa haki za binadamu zinazompa kila mtu kuwa na uhakika wa kuendesha maisha yake kwa ujuzi wake, ilimradi asivunje sheria.Sasa naibu waziri anasema hawa walimu wanafunzi waende kutafuta kazi nyingine, vipi kama mtu wito wake katika maisha ni ualimu?

This is typical of our leaders -or should I say misleaders- kuacha interesting problems zikae bila kupewa solutions na badala yake kuwa bulldoze watu kwa decrees za kisultani zinazoonyesha kutojali, kutotaka kutoa suluhu, kutoelewa kwamba uongozi ni dhamana na utumwa kwa wananchi -wakiwamo hao walimu wanafunzi- na umangimeza uliokubuhu ulimbukeni wa ubwanyenye ghafi.

Kauli hii imekaa kimtaani taani na kwa watu wote wenye kufuatilia maswala ya elimu kwa makini, naibu waziri alitakiwa kuwaomba msamaha walimu wanafunzi hawa.

Mkuu naona umeiweka vizuri hii. Big up Mkuu

hapa tunaona uongozi wetu ni zawadi na si mtu kupewa dhamana ya kuongoza (kama Mwalimu Nyerere alivyokuwa akihubiri). Mwisho wa siku kiongozi yoyote hatathminiwi na wananchi au hata kundi lolote, tunategemea nini? hawezi kujali matakwa ya anaowaongoza

uongozi ungekuwa ni dhamana, basi tungeona viongozi wanawaogopa wananchi, wanawasikiliza na wanapigania maendeleo ya nchi.
 
Huyu mama alikuwa mwalimu mkuu msaidizi shule aliyokuwa anafundisha mama Salma Kikwete,mara baada ya JK kuchukua utamu wa nchi,Salma alimwomba mumewe ampe fadhila Mwantumu kwavile alikuwa anamsaidia kumwandikia 'notes' za masomo ya kufundishia wakati yeye Salma akiwa safarini na mumewe.Hivyo kilichotumika hapo ni fadhila na si kigezo cha elimu kilichomfanya JK amteuwe Mwantumu kuwa mbunge na baadae naibu waziri.
Kuna utaratibu au sheria yoyote inayomtaka Raisi kuteua viongozi kwa kufuata vigezo fulani, na kwamba akikiuka atawajibishwa?
Hii habari ya "wabunge wa kuteuliwa", "viti maalum"... itatuletea maafa nchi hii.
 
Majibu yake hayana uhusiano na elimu yake bali ni mawazo yaliyojaa ndani ya moyo wake ambayo yanauhusiano na msimamo wa chama chake wa kufunga mdomo wote wanaohoji utendaji wa serikali kwasababu hii sio mara ya kwanza kwa waziri kujibu swali hovyohovyo.

Wanajibu hovyo bungeni,mikutanoni,wakialikwa katika shughuli mbalimbali,wakihojiwa katika vituo vya televisheni na hata wakipigiwa simu na waandishi wa habari ili kutoa ufafanuzi wa taarifa mbalimbali.

Lengo lao ni kuwatisha na kuwakatisha tamaa wote wanaofuatilia utekelezaji wa majukumu ya serikali ili wawe na muda wa kutosha wa kupumzika na kupanga jinsi ya kuhujumu maisha ya mtanzania aliyewachagua.

Wananchi tunatakiwa tusiishie katika kusikitika na kulalamika bali kila mmoja atafute daftari awe anaandika kila baya linalofanywa na hawa viongozi wa chama cha mafisadi ili ukifika wakati wa uchaguzi,kabla hatujaenda kupiga kura tunasoma yote tuliyoandika naamini yanaweza kutusaidia kufanya uamuzi sahihi ila tusipoweka kumbukumbu za maandishi tutasahau na tutawachagua hawa hawa tena!Na matokeo yake kila siku itakuwa afadhali ya jana.
 
Kuna utaratibu au sheria yoyote inayomtaka Raisi kuteua viongozi kwa kufuata vigezo fulani, na kwamba akikiuka atawajibishwa?
Hii habari ya "wabunge wa kuteuliwa", "viti maalum"... itatuletea maafa nchi hii.

Lazydog!

Mama Mwantum Mwahiza aliwahi kuwa pale J.K Nyerere shule ya msingi na aliwahi kuwa na intimacy na JMK na aliwahi kusikika akisema kwamba kwa uhusiano wake na mkulu hawezi kutoka kapa na kweli amini usiamini alipata ubunge the back door kwa kupitia mlango huo huo viti maalum na paradoxically mkuu alivunja protocol na kumpatia unaibu waziri in a fashion hata Zakhia Mengi alikosa viti maalum lakini JMK alimteua na kumpa uwaziri wa fedha?

Imagine kutoka mwalimu wa shule ya msingi mpaka kuwa waziri its a nightmare. Sitakaa nimsamehe JMK na sisiem kwa upuuzi wanaofanya!

Ningefurahi kama tungempata mtu kama Waziri mkuu wa Australia huu udini hautupeleki mbali JMK anateua mawaziri on those lines badala ya kuingia nao perfomance contract anacheza shere. Mkwere ni mkwere tu hata upeleke shule ni kazi bure!
 
Point of Correction......Diploma ya Chang'ombe ni mwaka 1987 mkuu na baada ya hapo zilikuwepo nyingine tena zenye exposure ndani yake.

pili hakuwa headteacher kabla ya uwaziri kama ulivyosema mkuu alikuwa MWENYEKITI WA UMOJA WA WALIMU WAKUU WA SHULE ZA MSINGI DAR ES SALAAM NA SASA NI AFRICA MASHARIKI KWA UJUMLA WAKE


Fafanua mkuu ulikuwa na maana gani, hizo taasisi za kichochoroni, hazumfanyi mtu aache ualimu mkuu wake!
 
[B said:
Mkereme[/B];560387]Lazydog!

Mama Mwantum Mwahiza aliwahi kuwa pale J.K Nyerere shule ya msingi na aliwahi kuwa na intimacy na JMK na aliwahi kusikika akisema kwamba kwa uhusiano wake na mkulu hawezi kutoka kapa na kweli amini usiamini alipata ubunge the back door kwa kupitia mlango huo huo viti maalum na paradoxically mkuu alivunja protocol na kumpatia unaibu waziri in a fashion hata Zakhia Mengi alikosa viti maalum lakini JMK alimteua na kumpa uwaziri wa fedha?

Imagine kutoka mwalimu wa shule ya msingi mpaka kuwa waziri its a nightmare. Sitakaa nimsamehe JMK na sisiem kwa upuuzi wanaofanya!

Ningefurahi kama tungempata mtu kama Waziri mkuu wa Australia huu udini hautupeleki mbali JMK anateua mawaziri on those lines badala ya kuingia nao perfomance contract anacheza shere. Mkwere ni mkwere tu hata upeleke shule ni kazi bure!


Mkuu shusha wanaoweza kazi ya urais, wamasai? wasukuma? wachaga? who are they?
 
Ni kweli staili ya uongozi wa mwantumu mahiza ni ya kimipasho zaidi kuliko kiongozi mwenye dhamana inayogusa hisia za watu wengi, anajisahau mno utafikiri anajibu mtaani tu...anafanana kwa mbaaaali na ghasia. Mungu Tusaidie.
 
Ni kweli staili ya uongozi wa mwantumu mahiza ni ya kimipasho zaidi kuliko kiongozi mwenye dhamana inayogusa hisia za watu wengi, anajisahau mno utafikiri anajibu mtaani tu...anafanana kwa mbaaaali na ghasia. Mungu Tusaidie.

Ndumbayeye kwa taarifa yako hivi ndivyo alivyo boss wao, I mean jk. Ukiwa na rais asiyeserious usitarajie hata siku moja ukawa na mawaziri serious watatoka wapi wakati yeye ndiye anayewateua wa kufanana naye? Huyu mama na mawaziri wengine wote ni upuuzi mtupu infact hata wale waliokuwepo enzi za mkapa na walikuwa wachapakazi nao hamna kitu sasa zaidi ya porojo tu. Kwa taarifa yako uzembe ni infectious kama yalivyo magonjwa kama kipindupindu na mengine. Ukiwa huna rais makini kutarajia serikali makini ni uwendawazimu tu hakuna jingine. Watanzania tumeliwa jumla kwa kweli I'm so sorry. Na kinachoniuma zaidi upuuzu wa hawa wapuuzi si wao wanaolipa gharama ya huo upuuzi ila ni watanzania maskini kule Nanjilinji na Kibong'oto kwa kutopata zile huduma ambazo serikali makini inapaswa kuprovide.
 
Rais wangu JK rudisha haraka elimu ya juu kwenye wizara ya sayansi na teknolojia, haifiti kwa kina mwantumu.
 
Nashukuru nimeiona hiyo link, elimu yake ni Diploma ya Chang'ombe, na kabla hajawa Waziri alikuwa headteacher wa Primary

Lakini kama alikuwa mwalimu, amepitia kwenye mazingira magumu sana na anajua hali ya huko, inakuwaje anakuwa waziri anatoa lugha mbovu hivyo? hapa TZ hakuna options za ajira nyingi namna hiyo naye anajua.

Wananchi tunapaswa kubadilika, mtu akitoa lugha kama hiyo tusikubali kirahisi.
Masikini akipata ..... mimi simalizii manake inakatisha tamaa, halafu anasahau historia ya alikotoka, hembu ajirekebishe.
 
Huwezi kumwambia mwalimu, anayefanya kazi ngumu na kulipwa mshahara mdogo, katika nchi ambayo unemployment haipimiki kwa ukubwa, kwamba atafute kazi nyingine kama hataki mshahara mdogo.

Hii ni sawa na kumwambia "pika pilau" mtu anayekufa na njaa kwa sababu hana hata unga wa kupika ugali.

Naibu Waziri alitakiwa kuona hili kama challenge na kulifanyia kazi.Hata kama si kwa kuongeza mshahara, serikali inaweza kuanzisha program nyingi tu na nzuri tu za kuwajali walimu na kuwapunguzia ugumu wa maisha.Nchi nyingi zina program kama hizi wa watumishi wa serikali na walimu, ambao traditionaly hawalipwi mishahara minono lakini wanakuwa comensated otherwise.Sisi kwetu tatizo mishahara si mizuri, haiji kwa wakati, halafu hamna hata perks zozote za maana za kuwafuta jasho walimu.Naibu Waziri, kwa sababu yeye alishawahi kuwa mwalimu, angewaeleza amefanya nini kuboresha hali ya walimu, the fact kwamba hajakuwa na chochote cha kusema inaonyesha hakufanya kitu na yeye ni kama robot tu anayesubiri amri za handlers wake waliomuweka pale.

Naibu Waziri anashindwa kuelewa kwamba walimu wana haki ya kulipwa mishahara inayokidhi mahitaji, na kwamba mtu mwenye mapenzi na ualimu, kimsingi halazimiki kuacha ualimu ati kwa sababu tu ualimu haulipi, hili ni kosa, ni utovu wa haki za binadamu zinazompa kila mtu kuwa na uhakika wa kuendesha maisha yake kwa ujuzi wake, ilimradi asivunje sheria.Sasa naibu waziri anasema hawa walimu wanafunzi waende kutafuta kazi nyingine, vipi kama mtu wito wake katika maisha ni ualimu?

This is typical of our leaders -or should I say misleaders- kuacha interesting problems zikae bila kupewa solutions na badala yake kuwa bulldoze watu kwa decrees za kisultani zinazoonyesha kutojali, kutotaka kutoa suluhu, kutoelewa kwamba uongozi ni dhamana na utumwa kwa wananchi -wakiwamo hao walimu wanafunzi- na umangimeza uliokubuhu ulimbukeni wa ubwanyenye ghafi.

Kauli hii imekaa kimtaani taani na kwa watu wote wenye kufuatilia maswala ya elimu kwa makini, naibu waziri alitakiwa kuwaomba msamaha walimu wanafunzi hawa.
Kimila za kiafrika mkubwa haombi msamahaa hata akikosea
 
Kimila za kiafrika mkubwa haombi msamahaa hata akikosea

Ana ukubwa gani huyu mama!? Kawekwa hapo kwa maslahi ya wachache; hana uadilifu, elimu au busara yeyote ya kuwa waziri! Kweli kwa wasomi wote waliopo TZ kuna haki ya kupewa huyu mama? Kwa nn asipewe Mathew Luhanga? Au Issa Shivji? Mbona wanafatiliana na kuendeleza elimu TZ! Au basi angepewa bosi wake Jenerali Ulimwengu ambaye ndiye alimtoa Mbuyuni Primary School na kumpa kazi JK Nyerere!?
Aaaargghhh!
 
Majibu yake hayana uhusiano na elimu yake bali ni mawazo yaliyojaa ndani ya moyo wake ambayo yanauhusiano na msimamo wa chama chake wa kufunga mdomo wote wanaohoji utendaji wa serikali kwasababu hii sio mara ya kwanza kwa waziri kujibu swali hovyohovyo.

Wanajibu hovyo bungeni,mikutanoni,wakialikwa katika shughuli mbalimbali,wakihojiwa katika vituo vya televisheni na hata wakipigiwa simu na waandishi wa habari ili kutoa ufafanuzi wa taarifa mbalimbali.

Lengo lao ni kuwatisha na kuwakatisha tamaa wote wanaofuatilia utekelezaji wa majukumu ya serikali ili wawe na muda wa kutosha wa kupumzika na kupanga jinsi ya kuhujumu maisha ya mtanzania aliyewachagua.

Wananchi tunatakiwa tusiishie katika kusikitika na kulalamika bali kila mmoja atafute daftari awe anaandika kila baya linalofanywa na hawa viongozi wa chama cha mafisadi ili ukifika wakati wa uchaguzi,kabla hatujaenda kupiga kura tunasoma yote tuliyoandika naamini yanaweza kutusaidia kufanya uamuzi sahihi ila tusipoweka kumbukumbu za maandishi tutasahau na tutawachagua hawa hawa tena!Na matokeo yake kila siku itakuwa afadhali ya jana.
This is my favorite post this month. Thanks Chuli!

Heri huyu mama ambaye ameteleza kwa kutamka hayo tuliyosikia, maana sasa tumetambua yuko upande upi, kuliko viongozi wa CCM walio wengi, ambao wana fikra na mitazamo inayofanania na mawazo ya huyu mama ila tu wao hawatamki hadharani. Kumekucha!
 
Back
Top Bottom