ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 327
Habari wana jf,
Kwa mara nyingine tena ndugu Philipo Mulugo akiwa ametembelea kituo cha usahihishaji mitihani kidato cha pili chuo cha ualimu Tukuyu akiwasihi walimu kuwa wanapoomba mapunjo ya mishahara yao wawe wana-atach salary slips zao.
Yeye akasema wawe wanaweka bank pay slips zao.
Hii ni wazi kuwa tunaongozwa na watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.
Source;mimi mwenyewe nikiwa hapa chuoni ku-mark.
Kwa mara nyingine tena ndugu Philipo Mulugo akiwa ametembelea kituo cha usahihishaji mitihani kidato cha pili chuo cha ualimu Tukuyu akiwasihi walimu kuwa wanapoomba mapunjo ya mishahara yao wawe wana-atach salary slips zao.
Yeye akasema wawe wanaweka bank pay slips zao.
Hii ni wazi kuwa tunaongozwa na watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.
Source;mimi mwenyewe nikiwa hapa chuoni ku-mark.