YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Contractor ndie anajenga mradi ukikamilika unakabidhiwa serikalini na haundeshwi bure wapata maji wanalipa bili sasa hivi maafisa majii koko vinavyolipwa mishahara kila mwezi wakati wananchi maji hawapati si uhujumu uchumi huo? Wanalippwa mishahara kwa maji yasiyokuwepo vinalipwa kwa Kipi? Raisi Magufuli fukuza wote walipe chao wakajiajiri ujinga mtupu.Ona akili za Lumumba unaweza ukaendesha mradi wa maji kwa mshahara ?
Maji hakuna halafu mishahara wanalipwa kwa performance ipi?
Raisi Magufuli punguza upole uko mpole Mno loooo