kwaa maana hiyo makame alaaniwe kwa hili??mkuu
Alaaniwe sana si kidogo kwa kweli. Noma sana watanzania wote sasa tunaonekana hamnazo tena majirani zetu ndio wanatunanga kweli. Na ukiangalia kwa makini ipo sababu ya wao kutudharau, kama top kabisa wa nchi anafanya mambo ndivyo sivyo what do you expect kwa mwananchi wa kawaida wa kule Nanjilinji? Hii yote kasababisha jaji mstaafu.