Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Habari ya Azam tv waziri wa tamisemi Jaffo amedai kuwa naibu waziri wake kanukuliwa vibaya au hakuekeweka vizuri
Na waziri kasema vyombo vya habari ndio vimesambaza maneno hayo yasiyo na ukweli.
Baadae azam wakarudia alichokisema naibu huyo. Hapo nikaamini serikali kukiri kosa ni shida kwao hata kama ushahidi uko wazi. Sasa yale ya siri watakubali?
Na waziri kasema vyombo vya habari ndio vimesambaza maneno hayo yasiyo na ukweli.
Baadae azam wakarudia alichokisema naibu huyo. Hapo nikaamini serikali kukiri kosa ni shida kwao hata kama ushahidi uko wazi. Sasa yale ya siri watakubali?