Jamaa namuona mjanja wa town kumbe bado hajajua kwamba huwa wanaweka kwenye chakula ya mtoto? Mungu wangu wamekomba kila kitu ili asiweze kutoka nje na nadhani alilala hadi saa za mchana. vichanchide vimeishavuka mpaka tayari huenda vipo Florida 2000 vinasherehekea mafanikio baada ya mawindo yao kunasa! Na kama alikuwa na jiwe ndio amewapa utajiri.
Mkuu siku hizi wanaweka mambo kwenye shakula ya mtoto, ukijifanya kula ile shakula tu basi hata huwezi kugonga wanajichukulia kwa ubuuuwa na unakuwa kama umepewa dawa ya usingizi kabla ya kufanyiwa upasuaji. Utalala wewe masaa zaidi ya kumi. Nina shaka kama alishtuka mwenyewe ama walienda kumgongea baada ya kuonahatoki. Wakome!
Habari hii imerekodiwa toka Kipindi cha Mchana huu cha TBC Taifa
mbona gari yake ya unaibu waziri iko DAR nimepark pembeni yake karibu
na askari monument majira ya saa 5 asbh!
Itakuwa kaacha gari kaenda kula bata badala yake kaliwa yeye!!!!:hand:
Mkuu siku hizi wanaweka mambo kwenye shakula ya mtoto, ukijifanya kula ile shakula tu basi hata huwezi kugonga wanajichukulia kwa ubuuuwa na unakuwa kama umepewa dawa ya usingizi kabla ya kufanyiwa upasuaji. Utalala wewe masaa zaidi ya kumi. Nina shaka kama alishtuka mwenyewe ama walienda kumgongea baada ya kuonahatoki. Wakome!
..hahaha ukute alikuwa anakula bata na mke wa mtu hahahahahah
Amevamiwa? Amevamiwa? Na majambazi wenye silaha? Hotel ilitekwa? Nani aliumizwa kwenye hilo vamizi?
TBC wamesema amevamiwa? Amevamiwa au amejivamia?
"Kuna Waziri mmoja huko Uingereza alionekana akipitapita mitaani na akina mama, basi habari zikaenea na huyo waziri akaamua kujiuzulu. Alimwandikia Waziri Mkuu barua ya kuomba kujiuzulu, kwa jinsi Waziri Mkuu alivyokasirika hakumjibu alimteua mtu mwingine kuchuakua mafasi yake." Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1995): Akiongelea uadilifu wa Viongozi wetu.
Sijui Rais atakasirika kiasi gani.
Mkuu!..una hakika?
Kimbunga huu msamiati mimi umenishinda kuutegua, unawe kufafanua?, au kama ni too graphic ni-pm mkuu. Ila na sisi wanaume kweli ni manyang'au. Yaani unachukua dude hulijui unalala nalo aaarrg, ingekuwa nchi za wawajibika huyu alikuwa anakabidhi barua ya kujiuzulu leo. Maana amekopa Public trust, ila kobongobongo twende kazi tu maana mteuliwa unaweza kuta ni reflection ya mteuzi.
Habari nilizozisikia mwenyewe toka Radio One Stereo ni kwamba Naibu Waziri wa Nishati na Madini Ally Malima, ameibiwa kila kitu katika hoteli moja huko Morogoro.
Taarifa zinasema kuwa hata nguo alizovaa sasa amekirimiwa na Wasamaria. Habari hizi zimethibitishwa na Meneja wa Hoteli hiyo Eustace Mutua, ambaye ni Mkenya.
Source: Breaking News saa 7 mchana Redio One Stereo!
Siyo maziwa mkuu wanapaka mapowuuuda kwenye nyonyo; ukijifanya mtoto ukajinyonyea haki yako ni usingizi wa pono unalala si chini ya masaa kumi. Unawapa wasaa wanakusaula kila kitu na wanaondoka zao. Huwa ni kakikundi fulani. Wengine huwa wantega hotelini hadi wakamate windo. Anaweza akawa anaishi na kulipa chumba kwenye hoteli kubwa ila siku akipata windo kama hilo ndio ametoka! anajilipa kila kitu.Unamaanisha yawezekana waziri wakati anatafuna alinyonya nyonyo ya mtoto kwa hiyo maziwa yaliyo toka yamemwathiri hivi?
Mbaya zaidi isiwe kampiga picha chafu mzee wa watu. Hii itakuwa scandal la mwaka zikianikwa kwenye mtandao.
Siyo maziwa mkuu wanapaka mapowuuuda kwenye nyonyo; ukijifanya mtoto ukajinyonyea haki yako ni usingizi wa pono unalala si chini ya masaa kumi. Unawapa wasaa wanakusaula kila kitu na wanaondoka zao. Huwa ni kakikundi fulani. Wengine huwa wantega hotelini hadi wakamate windo. Anaweza akawa anaishi na kulipa chumba kwenye hoteli kubwa ila siku akipata windo kama hilo ndio ametoka! anajilipa kila kitu.
Hawajafunga CCTV wamcheck labda ni mpododo wangu
Unajua nini kimefanyika hapa, yule mdada aliyekuwa naye kama hakumuwekea madawa ya kulevya kwenye kinywaji basi kapakaa kwenye mati** na wanaume wanavyopenda kunyonya na kulamba kila mahali basi malima ikawa kwisha habari yake.