aisee! Laki nne kwa siku?Nimeconfirm na kijana mmoja kwenye hiyo hotel ni kweli alilala hapo tangu juzi kwenye chumba cha exctv suite sh 400000 kwa siku tangu jana alirudi usiku kutoka club na dada mweupe mrefu na asbh kaamka kajikuta hana hata chupi katoka na taulo kiunoni!!hawa dada zetu wa club cjui vp amemkomba kila kitu waziri ni aibu Mkuu wa mkoa alienda kuokoa jahazi
Kuelekea 2015 tutaona mengi. Mungu hamfichi mnafiki!! That is exactly work of our God. Sala zetuJamaa namuona mjanja wa town kumbe bado hajajua kwamba huwa wanaweka kwenye chakula ya mtoto? Mungu wangu wamekomba kila kitu ili asiweze kutoka nje na nadhani alilala hadi saa za mchana. vichanchide vimeishavuka mpaka tayari huenda vipo Florida 2000 vinasherehekea mafanikio baada ya mawindo yao kunasa! Na kama alikuwa na jiwe ndio amewapa utajiri.
Kuna Mawaziri hata wafanye nini wao hawaguswi hata walalmikiwe vipi. mmoja wapo ni huyu, mwingine ni Shukur Kawambwa, Mwingine ni Hawa Ghasia ndio kwanza alisifiwa kwa kufana kazi vizuri. mwingine ndio huyu malima hata muandamane nchi nzima hatoki huyu.Huyu Bwanamdogo Malima ...ni Kati ya MAWAZIRI wazembe kabisa..na wahuni wasio jitambua.....Hili Tukio la mwaka Jana la kuibiwa kila kitu na Changudoa lilitosha kabisa kumfukuzaa Kazi .....
Nimeangalia Gazeti la Uhuru limemtaja Kama Moja wa MAWAZIRI mzigo kwa Ccm ambao imependekezwa...wafukuzwe kazi na Rais....
hawa ni MAWAZIRI vijana ambao wamewaangusha kabisa vijana...Huyu kwa tabia Hana tofauti na madhayo david ...tofauti ni kuwa Wakati Mathayo ni mfanyabiashara zaidi ...,na Mara nyingi hata Wakati wa kazi utamkuta kwenye bar Zenye vidosho..mwenzake Adam naye ni Mpiga Deal ....na Uhuni wake huufanya kwa kujificha Kama mtu wa dini....Wakati usiku yupo busy na Changudoa ..
Ni vema mapendekezo ya CC yafuatwe kwa MAWAZIRI wote waliotajwa.....hawa wawili nimewaongelea kwa kuwa ...uzembe wao pia unaendana na mmomonyoko wa MAADILI ...
Eti huyu naye anautaka Urais. ...
Kuna Mawaziri hata wafanye nini wao hawaguswi hata walalmikiwe vipi. mmoja wapo ni huyu, mwingine ni Shukur Kawambwa, Mwingine ni Hawa Ghasia ndio kwanza alisifiwa kwa kufana kazi vizuri. mwingine ndio huyu malima hata muandamane nchi nzima hatoki huyu.
Hamkukuta komdom iliyotumika humo room
Kweli madaraka kitu kibaya. Mkoloni mweusiHabari zilizopatikana sasa hivi zinasema Naibu Waziri Adamu Malima ameibiwa kila kitu ktk hoteli ya Loshera mjini Morogoro. Hadi sasa bado yuko ndani ya chumba cha hiyo hoteli hajatoka nje. Inasemekana hata nguo alizoavaa amesaidiwa tu na wasamaria wema.
Yaleyale ya mawaziri kuendelea kuumbuka ugenini!
Manjagu bado yanafuatilia issue hii nzima!
Source: Radio One, muda 13:14 pm
Hoteli yenyewe ndio hii hapa kama inavyoonekana
View attachment 48953
Hii hapa tena
View attachment 48954
kwa mlinzi getini
View attachment 48955
mbona dirisha lenyewe,halionekani kuvunjwa au forced entry?? au sio lenyewe??? nimeitoa kwa michuzi loh