hagaimwakilembe
Member
- Mar 31, 2014
- 7
- 0
Najisikia vibaya sana ninapoona bunge la bajeti likiwa katika hoja na kuibana serikali lakini naibu spika amekuwa ndo mtu anajibu hoja na kukandia upinzani kweli.
Mungu wape nguvu wapinzani waje wajenge taifa imara lenye utawala safi.
Mungu wape nguvu wapinzani waje wajenge taifa imara lenye utawala safi.