Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
Hii ndiyo tatizo la JF kuvamiwa wa watu wa Facebook, tunajadili kuhusu mustakabali wa siasa wewe unaanza kubandika watu vyama!Chadema walibugi Sana kuwafukuza uanachama HAO akina mdee.
Maana sasa hivi sio wanachama wenu na hamna MADARAKA nao .kuhangaika nao kuwa wafukuzwe bungeni mnaonekana mna WIVU na posho zao.
Nyie mmeshajitoa kwenye huo mzigo endeleeni na Mambo yenu.
Tazama akili zako zilivyo, kama unakili kuwa siyo wanachama wa CHADEMA, wapo Bungeni kwa chama gani? Maana katiba inaeleza kuwa huwezi kuwa Mbunge kama siyo mwanachama wa chama cha siasa!
Ndugu, kuwa na huruma na kodi yako inayo tumiwa vibaya na COVID19....