Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mh. Dk.Tulia Ackson ameibuka mshindi wa kwanza katika mchezo wa kutembea kwa haraka katika mashindano ya nane ya Wabunge wa Mabunge ya Afrika Mashariki yanayoendelea katika uwanja wa Taifa Dar es salaam.
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mh. Dk.Tulia Ackson ameibuka mshindi wa kwanza katika mchezo wa kutembea kwa haraka katika mashindano ya nane ya Wabunge wa Mabunge ya Afrika Mashariki yanayoendelea katika uwanja wa Taifa Dar es salaam.