johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Naibu Spika Dr Tulia Ackson amesema bunge litazipitia kanuni za sheria ya tozo za miamala ya simu zilizoandaliwa na waziri wa fedha ili kujiridhisha kama hazikinzani kazi itakayofanywa na kamati ya sheria ndogo ya bunge.
Endapo itaonekana kanuni ziko sawa basi sheria itapelekwa kwenye bunge zima
Source: ITV habari
Endapo itaonekana kanuni ziko sawa basi sheria itapelekwa kwenye bunge zima
Source: ITV habari