kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Hivi hawa viongozi wetu wana akili nzuri kweli?
sio kweli,wengi wa wanaoenda samunge ni watu wenye uwezo wa ku-access huduma bora za afya mfano kwenda regency,TMJ na AGHA KAN.naamini kuwa tuna matatizo na sekta yetu ya afya
Hivi hawa viongozi wetu wana akili nzuri kweli?
Mkuu wewe unapiga tarumbeta kwa sababu sio mgonjwa, wenzako wagonjwa wanapona baada ya kuhangaika kwa muda mrefu. Mtaka cha uvunguni sharti ainame.
Wewe endelea kuhesabu wanaokufa kutoka Samunge wakati wale wanaokufa kutoka kwenye hospitali zetu za Muhimbili etc. huwaoni.
ina maana wanavyoenda clinic hawaelezwi maana ya magonjwa sugu na mwenendo wa tiba zake?kama kuna tiba mpya naamini ni lazima ifuate misingi iliyopo ili itambulike kama tiba.viongozi walitakiwa(pamoja na ubinadamu wao) wasubiri dawa ithibitishwe kabla ya kukimbilia kikombe.Viongozi nao ni binadamu kama walivyo wengine. Kumbuka kuna magonjwa hayatibiki katika hospitali zetu option iliyopatikana inabidi iwe utilised effectively.
Halafu Ndugai anaonekana kabisa mgonjwa!!
Mkuu angalia sura yake tu, ngozi iko very pale..Limbani tafadhali bwana...anaonekana mgonjwa wa nini??? nijuze atii
kama kikombe cha babu kinaumiza zaidi itakuaje?hutaji kuumwa ili kujua uzuri na ubaya wa ugonjwa!utasubiri utafiti ufanyike wakati unaumia!!
Kwani umeambiwa kwa babu wanaenda wazima?Halafu Ndugai anaonekana kabisa mgonjwa!!
Cha ajabu hapo nini?Hivi hawa viongozi wetu wana akili nzuri kweli?