Sawa sidechick wa mboweGaidi maman yako
Mkulima wa vitunguu na cheo wapi na wapi?Lakini bado mnaogopa watu wapate taarifa juu ya kesi.
Unafikiri kwa kuomgea hivyo unapata cheo?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Alikugaidia mamayo?Mkulima wa vitunguu na cheo wapi na wapi?
Sheria lazima imwajibishe gaidi mbowe
16 September 2021
Dar es Salaam, Tanzania
Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi azungumzia utaratibu wa kuingia ndani ya Mahakama Kuu Maalum na kusikiliza kesi inayowakabilu Mbowe na wenzie 3.
- Marufuku kurekodi kwa kutumia simu
- Hakuna katazo kuingia ndani ya Mahakama
- Ni haki kuingia na kusikiliza kesi
- Wawakilishi wa wadau mbalimbali wanaweza kuingia ili kila wadau wapate haki ya kusikiliza. Wadau kama waandishi wa habari, wanafamilia, wawakilishi wa vyama n.k
- Kurusha mwenendo mzima wa kesi live / mubashara umeleta ukakasi, Mahakama ingependa simu zizimwe
- Nafasi ni finyu, kuna nafasi 48 tu kwa ajili ya watu kuingia ktk ukumbi wa Mahakama
- N.k
..mahakama ingeruhusu kesi irushe LIVE.
..hiyo ingeondoa uwezekano wa wenye nia mbaya kuripoti ndivyo-sivyo.
..hata msongamano mahakamani ungekuwa mdogo, kesi ingefuatiliwa kwenye mtandao.
Tulia mke wa Mbowe wewe Jaj afanye kazi yake
Mashahidi wenu waliofanya kazi moja wanatoa ushahidi tofauti mama.Tulia mke wa Mbowe wewe Jaj afanye kazi yake
Nilitaka kuwashangaa vijana mliomo humu mnamleya bure huyu msimbe wakati analeta mambo ya kijinga-jinga humu lakini naona umeliona hilo.Utaacha umalaya wa kisiasa lini?
Utaona dada yangu gaidi linavyofungwaMashahidi wenu waliofanya kazi moja wanatoa ushahidi tofauti mama.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Gaidi ni mamaakoUtaona dada yangu gaidi linavyofungwa
Tulia sidechick wa mbowe weweeGaidi ni mamaako
16 September 2021
Dar es Salaam, Tanzania
Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi azungumzia utaratibu wa kuingia ndani ya Mahakama Kuu Maalum na kusikiliza kesi inayowakabilu Mbowe na wenzie 3.
- Marufuku kurekodi kwa kutumia simu
- Hakuna katazo kuingia ndani ya Mahakama
- Ni haki kuingia na kusikiliza kesi
- Wawakilishi wa wadau mbalimbali wanaweza kuingia ili kila wadau wapate haki ya kusikiliza. Wadau kama waandishi wa habari, wanafamilia, wawakilishi wa vyama n.k
- Kurusha mwenendo mzima wa kesi live / mubashara umeleta ukakasi, Mahakama ingependa simu zizimwe
- Nafasi ni finyu, kuna nafasi 48 tu kwa ajili ya watu kuingia ktk ukumbi wa Mahakama
- N.k