Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Dah umenifanya niwe na amani kwamba Tanzania bado Kuna watu wanaopenda haki.Anaekugonga kwa hakika hakupatii vizuri
Dah umenifanya niwe na amani kwamba Tanzania bado Kuna watu wanaopenda haki.Anaekugonga kwa hakika hakupatii vizuri
..kwanini mshitakiwa mmoja amefungwa pingu huku wenzake wakiwa hawana?
Cc Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla, Erythrocyte
Ukimjibu unampa mileage ...mpotezee ajione kinyesiUtaacha umalaya wa kisiasa lini?
Gaidi maman yakoHilo ligaidi lazima sheria imwajibishe
Kinamuwasha kimesimamaMpuuzi sana huyo mwanamke, kwani CDM walikwenda mahakamani kumfurahisha yeye? Hayo malalamiko ya kufurahishwa ampelekee mumewe, pumbavu kabisa.
Gaidi manayako naye anatoka mahakamaniKabisa mkuu, magaidi yanataka kujaza mahakama ili yalipue hakimu.Hongera msajili
Mkuu, huyo mtu ni hatari. Kumbuka ni komandoo na ameshapitishwa kwenye mapito. It is better kufanya hivyo. Naomba niishie hapa...kwanini mshitakiwa mmoja amefungwa pingu huku wenzake wakiwa hawana?
Cc Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla, Erythrocyte
Kuna kesi ya OJ, kuna kesi ya Yule mwanariadha SA , kuna kesi ya kupinga uchaguzi wa Kenya etc etc... Eti ukakasi! Hata mimi sijamwelewa. Mataifa mengine kesi muhimu kama hii zinarushwa live hapa wanaleta siasa kwenye mambo ya msingi.
Yule anayefungwa pingu ni komandoo wa jeshi la wananchi , wanahofu uwezo wake wa kupiga unaweza ukaleta shida , ndio maana anafungwa pingu ...kwanini mshitakiwa mmoja amefungwa pingu huku wenzake wakiwa hawana?
Cc Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla, Erythrocyte
Je Media kubwa za Televisheni / Radio Stesheni Tanzania zimeshindwa kupata mojawapo ya nafasi za waandishi kuwepo mahakamani?
Yule anayefungwa pingu ni komandoo wa jeshi la wananchi , wanahofu uwezo wake wa kupiga unaweza ukaleta shida , ndio maana anafungwa pingu .
Nimeona swali lako kitambo ila device niliyokuwa natumia ilihujumiwa sikuweza kujibu , sasa nina device mpya
Ufinyu wa nafasi mahakamani unaondoa haki ya wanaotaka kusikiliza kesi?
16 September 2021
Dar es Salaam, Tanzania
Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi azungumzia utaratibu wa kuingia ndani ya Mahakama Kuu Maalum na kusikiliza kesi inayowakabilu Mbowe na wenzie 3.
- Marufuku kurekodi kwa kutumia simu
- Hakuna katazo kuingia ndani ya Mahakama
- Ni haki kuingia na kusikiliza kesi
- Wawakilishi wa wadau mbalimbali wanaweza kuingia ili kila wadau wapate haki ya kusikiliza. Wadau kama waandishi wa habari, wanafamilia, wawakilishi wa vyama n.k
- Kurusha mwenendo mzima wa kesi live / mubashara umeleta ukakasi, Mahakama ingependa simu zizimwe
- Nafasi ni finyu, kuna nafasi 48 tu kwa ajili ya watu kuingia ktk ukumbi wa Mahakama
- N.k
Sio wa kisiasa tuu na ule mwingine pia 😅Utaacha umalaya wa kisiasa lini?
IrritationNdio nini, ufafanuzi pl
16 September 2021
Dar es Salaam, Tanzania
Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi azungumzia utaratibu wa kuingia ndani ya Mahakama Kuu Maalum na kusikiliza kesi inayowakabilu Mbowe na wenzie 3.
- Marufuku kurekodi kwa kutumia simu
- Hakuna katazo kuingia ndani ya Mahakama
- Ni haki kuingia na kusikiliza kesi
- Wawakilishi wa wadau mbalimbali wanaweza kuingia ili kila wadau wapate haki ya kusikiliza. Wadau kama waandishi wa habari, wanafamilia, wawakilishi wa vyama n.k
- Kurusha mwenendo mzima wa kesi live / mubashara umeleta ukakasi, Mahakama ingependa simu zizimwe
- Nafasi ni finyu, kuna nafasi 48 tu kwa ajili ya watu kuingia ktk ukumbi wa Mahakama
- N.k
Kwani wasipofurahishwa kuna sheria yoyote ya kufurahishwa inakuwa imevunjwa?Naibu Msajili wa Mahakama Kuu anasema hawakufurahishwa namna mwenendo mzima wa kesi ulivyoripotiwa na kurushwa mitandaoni kupitia simu za watu waliokuwapo Mahakamani