Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,866
Haki itadhihiri, ni suala la muda tu. Dulma ina mwisho.
Bwana Mazrui usirudi nyuma ni mbele tu katika kudai haki.
Bwana Mazrui usirudi nyuma ni mbele tu katika kudai haki.
Ukimaanisha hizi ni hisia zangu zisizo na uhalisia? yaani mie MbeyaRubbish..
HISIA zako zimetawala ukweli na UHALISIA wa vipi Binaadamu tunatakiwa kuishi
Ni tabia ya mwafrika chini ya Jangwa la Sahara, ukweli hugeuza uongo na uongo ukawa ukweli..
Ukimaanisha hizi ni hisia zangu zisizo na uhalisia? yaani mie Mbeya
Punguza jazba boss ili tuelewane, Baba alisema UCHAGUZI UMEKWISHA, Tusameheane tusonge mbele
Mkuu wanasiasa nao ni raia piaSijui ile kesi ya Ugaidi na kudhibiti mitambo ya kubadilisha matokeo ya Uchaguzi imeishia wapi?
Utawaamini vipi Jeshi la Polisi la Tanzania?
Jeshi ambalo limejaa,chuki Kwa raia, Jeshi ambalo linawabambikia kesi Wananchi, Jeshi ambalo limejaa damu mikononi mwao
Mungu awapige radi awanakamishe Jeshi la Polisi, Jeshi liliojaaa dhulma
Baada ya kulinda usalama wa RAIA linaramba nyayo za Wanasiasa..
Kweli, lakini Wanasiasa ambao wananyanyasa raia wasio na hatia ili wabakie kwenye vyeo,ni RAIA WABAYA..Mkuu wanasiasa nao ni raia pia
Hawana tofauti,ni hao hao.Ameachiwa na polisi au na wasiojulikana?
Nielewe kuwa suala la kijinga linafaa lijibiwe kijinga..
Jana nilikujibu kibusara,..Mramu
CCM ni chama cha magaidi yaliyojificha kwenye ngozi ya chama cha siasa majitu ya ajabu sana .CCM hawana tofauti na majambazi ambao wanaingia nyumbani kwako na kuiba kila kitu bado hawaridhiki wanaamua kubaka watoto wako na mkeo!!!!
Ndio afisa kipenyo uko kazini kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu kwa ajili ya vyeo na fedha huku baba yako , mama ,kaka , dada shangazi , mjomba , Bibi , babu , binamu zako wanaishi maisha ya mateso makubwa kutokana na chama chako cha ccm na viongozi wake wewe unashangilia hongera sana .Alizushiwa kwamba ameuwawa huyu baba.... Afadhali amerudi uraiani tujenge nchi
Mungu ibariki Tanzania
Nani kachagua maisha yaliyoletwa na ibilisi . Watanzania sijui tulimkosea nini Mungu mpaka akaamua kumshusha ibilisi kupitia ccm .Watanzania hawajawa tayari na hapo ndio penye utata mkubwa.
Wananchi wasishinikizwe, waachwe na maisha waliyoyachagua maana ndio wanayoyapenda.
Wangekua wanayachukia kwa tamko la Tundu kila mtu toka kila nyumba, kila mtaa, kila kijiji wangeingia barabarani wala pasingekua na wa kuzuia
Wewe mjinga nyinyi wabaguz washenzi wapumbavuu ZANZIBAR mtaiacha km mlivyoikuta kuna siku wazanzibar wataungana na hamtakua pakuweka NYUSO ZENU wadanganyika WAKOLONI WEUSINilidhani wameshafukia huyo Gaidi.
Ajifunze kuwa na adabu au akimbilie Oman.
Zanzbar ni salama.
Salama unaijua unajua yaliyotokea PEMBA mwembe makumb Nungw na kwengineko??Nilidhani wameshafukia huyo Gaidi.
Ajifunze kuwa na adabu au akimbilie Oman.
Zanzbar ni salama.
Baba yangu , mama ,kaka , dada shangazi , mjomba , Bibi , babu , binamu zangu wanaishi maisha ya yenye unafuu mkubwa siku hizi baada ya kupata huduma ya za afya, umeme, barabara, na watoto kupata elimu huko vijijini. Zamani hospitali km100 na huduma hakuna... ila sasa hospitali zimewafikia na huduma wanapataNdio afisa kipenyo uko kazini kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu kwa ajili ya vyeo na fedha huku baba yako , mama ,kaka , dada shangazi , mjomba , Bibi , babu , binamu zako wanaishi maisha ya mateso makubwa kutokana na chama chako cha ccm na viongozi wake wewe unashangilia hongera sana .
Wakati wewe unaumwita shetani, watanzania walio wengi maskini wasiokua na uwezo wa smartphone na kuweka post hapa jf wanamuombea aendelee kuwatendea mema. PoleeNani kachagua maisha yaliyoletwa na ibilisi . Watanzania sijui tulimkosea nini Mungu mpaka akaamua kumshusha ibilisi kupitia ccm .