TANZIA Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi afariki dunia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,798
11,960
Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma leo Januari 20, 2021, Mkuu wa Jeshi hilo Meja Jenerali Suleiman Mzee amethibitisha.

20210120_120405.jpg
 
Back
Top Bottom