Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,745
- 4,730
"Tanzania ni miongoni mwa nchi chache katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ambazo, askari na wananchi wana mahusiano mazuri kuliko nchi nyingine katika jumuiya hii, na wananchi wanalifurahia jeshi lao kwa namna linavyolinda maisha yao na mali zao".
Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ramadhan Ng'anzi, Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani nchiniAkihojiwa kwenye kipindi cha Kasri kinachorushwa na kituo cha redio cha Crown FM.
Kwenu Wakuu!