Nahodha aliteuliwa na kikwete kuwa mbunge ili apewe uwaziri baada ya kushindwa kwenye kura za kuwa mgombea wa uraisi zanziber kupitia ccm, alipewa uwaziri wa mambo ya ndani na kushindwa kuiongoza vizuri, amepewa wizara ya ulinzi ameshindwa kuiongoza..... Sasa umeshafikia mwisho wa nahodha.