KIkwete ni mmoja wa marais vituko sana dunian! Sijui walimwokota wapi!!
Aliokotwa toka Chalinze Mzee/ Msoga!!
KIkwete ni mmoja wa marais vituko sana dunian! Sijui walimwokota wapi!!
Arudi tu kwao akalime karafuu...
Sio lazima kila mtu awe mwanasiasa
Huyu Nahodha siwezi kumsahau aliniomba nimpe rushwa ili anipe press card wakati alipokuwa idara ya maelezo Zanzibar. Afadhali mwenyezi mola amemlipia.