hatuwezi kukubali, safari hii urais ni zamu yetu wakiristo, tuna desturi ya kubadilishana urais kutokana na uwiano wa kidini! Tulianza na mwalimu(mkristo mkatoliki) baada ya uhuru na kumuachia rashid kawawa(muislamu) kwa muda mfupi kabla ya kurudi tena mwalimu(mkristo mkatoliki)na kumuachia ali h. Mwinyi(muislamu) na yeye kumuachia mkapa(mkristo mkatoliki) na yeye kumuachia jk(MUISLAMU)!
haiwezekani muislamu aondoke na kumuachia muislamu tena hiyo itakuwa ni kinyume na maadili tuliyojiwekea na italeta malalamishi toka kwa wakiristo na mimi naona ni kipindi cha waluteri AU waanglikana AU WALOKOLE AU WASIO NA DINI kushika madaraka ya urais kwa sababu tangu tumepata uhuru marais wametokana na wakatoliki!!
Kwa siasa za leo ni vigumu sana kubashiri nani atakuja kusimama 2015,pia kama ni mtu kutoka ZNZ inabidi awe competent sana na sidhani kama wanaye kwa sasa.
Kutoka waziri kiongozi(Waziri mkuu) mpaka unaibu waziri hiyo ni promotion au demotion?Atapewa Unaibu Mambo ya Nje.
haina uhusiano na Urais wa 2015.
possibly hamad rashid mohamed wa cuf! Huyu ni competent enough but.....!?
hatuwezi kukubali, safari hii urais ni zamu yetu wakiristo, tuna desturi ya kubadilishana urais kutokana na uwiano wa kidini! Tulianza na mwalimu(mkristo mkatoliki) baada ya uhuru na kumuachia rashid kawawa(muislamu) kwa muda mfupi kabla ya kurudi tena mwalimu(mkristo mkatoliki)na kumuachia ali h. Mwinyi(muislamu) na yeye kumuachia mkapa(mkristo mkatoliki) na yeye kumuachia jk(MUISLAMU)!
haiwezekani muislamu aondoke na kumuachia muislamu tena hiyo itakuwa ni kinyume na maadili tuliyojiwekea na italeta malalamishi toka kwa wakiristo na mimi naona ni kipindi cha waluteri AU waanglikana AU WALOKOLE AU WASIO NA DINI kushika madaraka ya urais kwa sababu tangu tumepata uhuru marais wametokana na wakatoliki!!