Nahitaki kuagiza gari toka japani

mahenda255

JF-Expert Member
Jul 29, 2018
510
674
Wakuu habari za weekend!
Nimefikilia niagize gari aina ya Volkswagen golf toka japani
nahitaji ushauri kidogo toka kwenu wadau wa magari maana mie sio mzoefu wa magari haya ya mjerumani.
Screenshot_2021-08-15-15-36-51-385_com.android.chrome.jpg

1*Kitu cha muhimu nachohitaji ni ushauri kwa wale ambao wameshatumia au wanatumia gari ya aina hii
2*Nahitaji kujua pia ni utaratibu gani unahitajika kufanyika pindi unapotaka kutoa gari lako bandarini?
3*Je kuna gharama tofauti ambazo za inalipwa tofauti na zile za TRA?
Screenshot_2021-08-15-15-37-13-389_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2021-08-15-15-40-15-791_com.UCMobile.intl.jpg
 
Mfano beforward wana option wenyewe wafanye clearance na delivery au ukalichukue Yard yao. We ukishalipia TRA tu gari wanaichukua wenyewe wanapaki yard yao, we ukipata ela unaenda kulichukua. Pale utalipa usajili, clearance fee haizidi laki 2.5, utalipia bima depends on vehicle age, utalipia mtungi wa gesi na triangles [option].

Then welcome to the beautiful world Kwa watembelea matako.

Nb: hiyo gari ipo chini sana not recommended for rough roads, but comfortable
 
Back
Top Bottom