Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,305
Wakuu habarini...
Naimani wazima wa afya tele..
Wakuu nina shida na nyimbo inaimbwa..
"when i come back home,everything gonna be alright, so mamy don't go,everything would be just fine"
Sikumbuki muimbaji na jina la nyimbo ila kipindi ninachopitia sasa kinanifanya nihitaji sana kuusikiliza huu wimbo...shukrani
Naimani wazima wa afya tele..
Wakuu nina shida na nyimbo inaimbwa..
"when i come back home,everything gonna be alright, so mamy don't go,everything would be just fine"
Sikumbuki muimbaji na jina la nyimbo ila kipindi ninachopitia sasa kinanifanya nihitaji sana kuusikiliza huu wimbo...shukrani