Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea nipo njiani kufungua NGO yangu ambayo itakuwa ina deal na maswala ya ELIMU YA TANZANIA
Kazi tutakazokuwa tunafanya ni kama ifuatavyo:
1. Kufundisha mashuleni kwa mfumo wa club
2. Kuandaa matamasha mbali mbali ya kielimu mashuleni
3. Kutoa mafunzo kwa walimu
4. Kupima IQ test completion kwa wanafunzi
5. Kutoa consultant kwa maswala ya kielimu kwa wamiliki wa shule na wakuuu wa shuleni
Karibuni sana hata kama wewe sio mwalimu; karibu tupige kazi kidogo kinachopatikana tutakuwa tunalipana
Kazi tutakazokuwa tunafanya ni kama ifuatavyo:
1. Kufundisha mashuleni kwa mfumo wa club
2. Kuandaa matamasha mbali mbali ya kielimu mashuleni
3. Kutoa mafunzo kwa walimu
4. Kupima IQ test completion kwa wanafunzi
5. Kutoa consultant kwa maswala ya kielimu kwa wamiliki wa shule na wakuuu wa shuleni
Karibuni sana hata kama wewe sio mwalimu; karibu tupige kazi kidogo kinachopatikana tutakuwa tunalipana