muzr
Member
- Sep 5, 2017
- 31
- 18
Nahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kufanya biashara ya samaki eneo ni Kongowe Dar es Salaam
Wawe na uwezo wa kutengeneza samaki wabichi, kukaanga samaki. Malipo hayatapungua 5000 na hayatazidi elfu 8000 kwa kila siku
Alie tayari tunaweza kuwasiliana kupitia 0748060694
Wawe na uwezo wa kutengeneza samaki wabichi, kukaanga samaki. Malipo hayatapungua 5000 na hayatazidi elfu 8000 kwa kila siku
Alie tayari tunaweza kuwasiliana kupitia 0748060694