chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Habari zenu wana-Jf Doctor,.
Mimi ninasumbuliwa na uchovu wa kila wakati, iwe asubuhi, mchana au jioni mwili wote unakuwa na maumivu yasiyoisha!!
Nimeshafanya vipimo vya x-ray mara kadhaa lakini hamna tatizo lolote lililo onekana,.
Kuna wakati kifua kinabana sana na pumzi inakua nzito sana wakati wa kuvuta hewa ndani,.
Nimeshatumia dawa nyingi ikiwemo dawa inayoitwa KoAct ambayo nimemaliza dozi hivi karibuni bila kuona mabadiliko yoyote,..
NB: Nilikuwa nikifanya mazoezi ikiwemo kuinua vyuma kwa muda fulani kisha nikaacha ghafla na kuanzia hapo nikaanza kupata matatizo niliyoyaeleza hapo awali,.
Je nitakaporejea kufanya mazoezi naweza kuondokana na tatizo linalonikabili?
Naombeni ushauri tafadhali,.
Mimi ninasumbuliwa na uchovu wa kila wakati, iwe asubuhi, mchana au jioni mwili wote unakuwa na maumivu yasiyoisha!!
Nimeshafanya vipimo vya x-ray mara kadhaa lakini hamna tatizo lolote lililo onekana,.
Kuna wakati kifua kinabana sana na pumzi inakua nzito sana wakati wa kuvuta hewa ndani,.
Nimeshatumia dawa nyingi ikiwemo dawa inayoitwa KoAct ambayo nimemaliza dozi hivi karibuni bila kuona mabadiliko yoyote,..
NB: Nilikuwa nikifanya mazoezi ikiwemo kuinua vyuma kwa muda fulani kisha nikaacha ghafla na kuanzia hapo nikaanza kupata matatizo niliyoyaeleza hapo awali,.
Je nitakaporejea kufanya mazoezi naweza kuondokana na tatizo linalonikabili?
Naombeni ushauri tafadhali,.