MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,366
- 1,621
mkuu nakushauri uongeze thamani hapo ndio penye kula penyewe. mawazo ya kiwanda kiwanda. tengeneza jam ya papai. tengeneza ambayo haina sukari ili kukwepa kuongeza gharama. otesha aina ya papai ambazo ni tamu na zina sukari asilia. ukiingia sokoni tumia hiyo ama mbinu ya kibishara kuwa jamu yako huweki sukari. pia unaweza kuwa unaichanganya na matunda ya msimu maana huko uliko ndio kwenyewe. watu wanapenda mixed fruit jam ziaidi ya yenye tunda moja. unaweza kujifunza ujasiriamali huo sido au veta. ukajua namna ya kufungusha. kuweka label. na pia kupata sehemu ya kufanyia kazi ambayo imethibitishwa na tfda na tbs. tupo pamoja.