80000-120000Bei ya kizalendo ni sh ngapi?
Sasa huu ndio muongozo, ngoja wahusika waje wakuoneshe vyumba vilipo80000-120000
Pouwaah, ahsante sana.Sasa huu ndio muongozo, ngoja wahusika waje wakuoneshe vyumba vilipo
Pouwaah, ahsante sana.Sasa huu ndio muongozo, ngoja wahusika waje wakuoneshe vyumba vilipo
120k unakaa popote Dar ila sio ushuani au mjini kati. Hiyo sio bei ya kizalendo, mitaa kama Tabata unapata self, sebule na jiko80000-120000
Hahahah hio self sebule na jiko labda Mawenzi Annex huko 😂😂😂120k unakaa popote Dar ila sio ushuani au mjini kati. Hiyo sio bei ya kizalendo, mitaa kama Tabata unapata self, sebule na jiko
😂😂😂Hahahah hio self sebule na jiko labda Mawenzi Annex huko 😂😂😂
Kupanga sehemu ambayo kufika kwako ni kama unaenda mkoani nako ni kipaji
Kupanga sehemu ambayo kufika kwako ni kama unaenda mkoani nako ni kipaji
80000-120000
Safii,
Vipi bei za master na sebule?
Unamuuliza nani? Kama ni mm niliepost picha bac cjui nimezichkua instagram hizo picha kwa madalali wapo zaidi ya 20 huko katafute mmoja au usearch uangalie but kwa uzoefu maeneo km hayo sio chini ya 150K Ila masafa ni marefu huko porini utaenda
kama vya bei nafuu, Nenda mbagala mkuu,, chumba sebule nasikia efu 40 tu uko.. ...Naombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
Hahaha bora kulipa 200K ukae roadYani kuishi porini ni kipaji unackia kilometer 2 na nusu kutoka lami bajaji 500 boda boda buku na Noah 500 ukishuka majaji ni mwendo tu wa dakika Yani umepanda mwendokasi au daladala umeshuka ukapanda bajaji au Boda unashuka na unatembea boda boda haifki nje ya nyumba Yani mateso ya nini hayo