Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 391
- 579
- Thread starter
- #61
Kama akili zipo kwnye mwandk uko sahhWe ni kilaza,huo mwandiko,bongo lala
Kama akili zipo kwnye mwandk uko sahhWe ni kilaza,huo mwandiko,bongo lala
Mrejesho vp mkuukama akili zipo kwnye mwandk uko sahh
Chuo kikuu unaandika ujinga huu.Hellow Jf.member
Nilikua na ukarb na binti m1 baada ya siku kadhaa nkarusha ndoano haikunasa, akadai yupo na mtu ambae wameshafikishana had kwa wazazi,nkamwambia a keep it na mungu awajalie mahusian yao yadumu, tkaw t na urafiki wa kawaida baad ya miezi kama miwili hv akantafta aktaka
Novel tayarHellow Jf.member
Nilikua na ukarb na binti m1 baada ya siku kadhaa nkarusha ndoano haikunasa, akadai yupo na mtu ambae wameshafikishana had kwa wazazi,nkamwambia a keep it na mungu awajalie mahusian yao yadumu, tkaw t na urafiki wa kawaida baad ya miezi kama miwili hv akantafta aktaka tuonane.
Nilikuw busy kdogo kwa ajili ya maandalz ya UE[ZIMA MOTO FC]ko sikuweza pata nafasi hadi tnamaliza mitihani ndo nkampa muda wa kuonana nami tlipanga tuonane nae mapema but ad sa2 manzi ananpanga yupo maeneo na nsjar tutaonana,sa3.ndo tkaktana nkatafta maeneo tliv tlienda lodge flan iv but skuchkua chumb si mtumiaj wa pombe hvyo nliagza juice..
Salamu za hapa na pale then akaanza kunpa matatizo alonayo kwny mahusiano yake huku akilia sana,doh nlimuonea huruma nliwaza tngelala hapo siku hyo ila nlighairi ktokana na hali alokua nao so nkaamua kmtlza na kumuacha aende kwake akapumzkee,kwa kpnd hko tyr nlikua na manzi tna ambae alikua na ujauzto wangu namshukur mungu kanletea dume asee.Story inaendlea,natmia goroka
Hajui kwamba anasomeshwa kwa kodi ya machinga,,Sisi tunakusomesha wewe unawaza mapenzi..?
Washangaa nini?
Bro hizo essay ndio ulikua unachapa namna hii?Hellow Jf.member
Nilikua na ukarb na binti m1 baada ya siku kadhaa nkarusha ndoano haikunasa, akadai yupo na mtu ambae wameshafikishana had kwa wazazi,nkamwambia a keep it na mungu awajalie mahusian yao yadumu, tkaw t na urafiki wa kawaida baad ya miezi kama miwili hv akantafta aktaka tuonane.
Maumivu yakizidi muone daktariAs a national tena?
Aamue yeye kujimalizaUshaur wangu huo apoView attachment 1972260
Itakuwa ni Amazon College au Zion CollegeMkuu uko chuo gani?
Karucee punguza ukali wa maneno. Duh!Wewe ni kakitombi balaa maniner. Huyo sijui alipona ponaje wakati hucheki na sehemu za siri za KE
Thread 'Naombeni ushauri kwenye mahusiano yangu' Naombeni ushauri kwenye mahusiano yangu
Thread 'Je, ilishawahi kukutokea hii kitu au ni mimi tu?' Je, ilishawahi kukutokea hii kitu au ni mimi tu?