Cryptopotato
Member
- Dec 19, 2017
- 53
- 71
Mimi ni mteja katika mtandao wa tigo na kwa uelewa wangu naamini yanatakiwa kulipia VAT ambayo ni 18% kautoka kwenye ada zinazo katwa kutoka kwa wateja, lakini kuna baadhi ya ada kama za kulipia bili kwenye makampuni mbalimbali unakuta ada ni tsh 2000 lakini VAT unaambiwa ni tsh 30 badala ya Tsh360 ambayo ndiyo 18% ya tsh 2000 ya ada.
**Mfano kwenye attachment hapo**
**Mfano kwenye attachment hapo**