ukiona umenunua blenda kwa bei hzo jua hakuna kazi....mie nimenunua blender ijumaa 210!u can imagn..itakuuwa inakusumbuaaa mara usikie harufu ya kuungua mpira..tafuranElfu 65 Mkuu
Umenunua Laki Mbili Na Kume Na Bado Inasumbua
ukiona umenunua blenda kwa bei hzo jua hakuna kazi....mie nimenunua blender ijumaa 210!u can imagn..itakuuwa inakusumbuaaa mara usikie harufu ya kuungua mpira..tafuran
sio harufu tu nyingine huwa zinakuwa zinatoa cheche ukuchungulia kwenye ile base ya chini wakati ikiwa 'on'
So zenye ubora kuanzia sh ngapi???sio harufu tu nyingine huwa zinakuwa zinatoa cheche ukuchungulia kwenye ile base ya chini wakati ikiwa 'on'
eti Sansang watu bana wanawachanganya wateeeja,wanajua kuna wengine wakiona hlo jina watafikiri Samsung.nilimanisha ya kwako..hiyo brand sio kbs..fumba macho nunua kenwood...
😂😂😂sijui singsung😂😂😂.. loleti Sansang watu bana wanawachanganya wateeeja,wanajua kuna wengine wakiona hlo jina watafikiri Samsung.
kuna deki za singsang piasijui singsung.. lol
😂😂😂😂😂😂😂... nazijua...had mafrijikuna deki za singsang pia
Za lita moja au moja na nusu zinaanzia 70000 - 150000, ..sasa ukikuta iko 45000 halafu hata wakisema ni promotion hapo unatoka na kitu fekiSo zenye ubora kuanzia sh ngapi???