Nahitaji Software maalumu kwa kufanya tracking kwa kutumia namba ya simu

de98

JF-Expert Member
Aug 13, 2017
732
739
Habarini za jioni wana jamii forums wenzangu.

Kama kichwa kinavyo jieleza nahitaji kujua iyo software ambayo itanisaidia kujua location ya mhusika kwa kutumia namba yake ya simu hata pengine IMEI no. for anycost just mention them!

Nimeuliza hivi najua wataalamu wapo wanaozitumia,naombeni mnifahamishe nami pia.
Natanguliza shukrani kwenu.
 
Software mbona zipo nyingi sana ila ni mpaka uweke mwenyewe kwenye simu husika ila Kama huwezi we Nenda tcra tu ukaombe mawasiliano yake we nenda na namba yake ya simu tu.
 
Software mbona zipo nyingi sana ila ni mpaka uweke mwenyewe kwenye simu husika ila Kama huwezi we Nenda tcra tu ukaombe mawasiliano yake we nenda na namba yake ya simu tu.
Shukrani mkuu
 
Mapenz mabaya mapenz mabaya

Yaan wakat wengne tunaumiza vichwa tuongeze investments nyingne zaid

Wengne wanafatilia mapenz
 
Mapenz mabaya mapenz mabaya

Yaan wakat wengne tunaumiza vichwa tuongeze investments nyingne zaid

Wengne wanafatilia mapenz
Mkuu si kila unachokiona na kukiskia ukatoa conclusion ,hii si kwa ajiri ya personal interest,is for my organization interest!
 
Hakuna mtu mtu yoyote mwenye access na IMEI/Phone number + location za watu isipokua:

1. Network Providers ambao kisheria hawawezi kutoa hzo data kwa mtu yoyote isipokua chombo husika cha mawasiliano (TCRA). Na hata network providers hawaoni exact location, waona tu location ya mnara uliokaribu nae

2. Mwingine mwenye access na hzo information ni mmiliki wa operating system yako. Ambao ni Google or Apple, nk. Nao wataweza kujua location ikiwa tu mtumiaji amelink email account yake na simu hyo na pia awe amewasha location + data.

Tofauti na hapo utahitaji app iwe imekuwa installed kwenye simu ya unayemtrack na iwe inaweza kuchukua number ya simu + IMEI. Hizi nadhani ndio zipo.
 
Software mbona zipo nyingi sana ila ni mpaka uweke mwenyewe kwenye simu husika ila Kama huwezi we Nenda tcra tu ukaombe mawasiliano yake we nenda na namba yake ya simu tu.
Yaani uende TCRA na number ya simu alafu wakupe tu location ya mtu . Askari wenyewe wanaotrack hzo simu zilizopotea ni lazima wawasilishe ripoti ndio wapewe information.
 
Hakuna mtu mtu yoyote mwenye access na IMEI/Phone number + location za watu isipokua:

1. Network Providers ambao kisheria hawawezi kutoa hzo data kwa mtu yoyote isipokua chombo husika cha mawasiliano (TCRA). Na hata network providers hawaoni exact location, waona tu location ya mnara uliokaribu nae

2. Mwingine mwenye access na hzo information ni mmiliki wa operating system yako. Ambao ni Google or Apple, nk. Nao wataweza kujua location ikiwa tu mtumiaji amelink email account yake na simu hyo na pia awe amewasha location + data.

Tofauti na hapo utahitaji app iwe imekuwa installed kwenye simu ya unayemtrack na iwe inaweza kuchukua number ya simu + IMEI. Hizi nadhani ndio zipo.
Nimekuelewa vizur mkuu
 
Mkuuh nina shida utakua unajua namna ya ku enable OTG nataka kufaham kweny cm yang inagoma ni Infinix Hot 10 play
Hakuna mtu mtu yoyote mwenye access na IMEI/Phone number + location za watu isipokua:

1. Network Providers ambao kisheria hawawezi kutoa hzo data kwa mtu yoyote isipokua chombo husika cha mawasiliano (TCRA). Na hata network providers hawaoni exact location, waona tu location ya mnara uliokaribu nae

2. Mwingine mwenye access na hzo information ni mmiliki wa operating system yako. Ambao ni Google or Apple, nk. Nao wataweza kujua location ikiwa tu mtumiaji amelink email account yake na simu hyo na pia awe amewasha location + data.

Tofauti na hapo utahitaji app iwe imekuwa installed kwenye simu ya unayemtrack na iwe inaweza kuchukua number ya simu + IMEI. Hizi nadhani ndio zipo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom