reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,660
- 20,989
Hahaaa jf raha sana.....Acha ubishi Wewe Dogo hiyo simu inashida gani??
Simu original kabsaa hiyo
Unaleta ubishi kama ngoz ya goti
Sikutafutii tena simu
Watu Wajinga kama Wewe siwapi dili tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mwisho wa siku namsihi mtoa mada awe makini na simu za wizi.....
Waandikishane tena ikibidi hata am record na biashara ifanyike nyumbn kwa muuzaji...
Ni week mbili tuu tumemtoa mdau selo
kwa dhamana asaiv anatafta M7 na Amepeta TB juu kwa kisimu cha Laki na nusu...
Hapa anaweza ni maneno tuu ila akitaka vitendo vinapatikana live....
Sent using Jamii Forums mobile app