Nahitaji shamba la kukodisha

Msuya Jr.

JF-Expert Member
May 31, 2013
1,691
896
Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
 
NJOO NIKUKODISHIE ENEO mpakan mwa kibaha na kisarawe panaitwa musese ni center kabisa,maji kibao tena ya bure kuna jamaa kapga green house huku balaa za nyanya na ufuta,nicheki 0624078252 AU 0764726071
 
NJOO NIKUKODISHIE ENEO mpakan mwa kibaha na kisarawe panaitwa musese ni center kabisa,maji kibao tena ya bure kuna jamaa kapga green house huku balaa za nyanya na ufuta,nicheki 0624078252 AU 0764726071
Nipo ilala, nafika vip pande hizo, maana kisarawe najua lazima upitie goms, unless otherwise
 
Njoo nikukodishie shamba ambalo lipo tayari limetifuliwa na kulimwa wewe unaanza kupanda mbogamboga zako unazo hitaji mkuu..lipo Bagamoyo Mtoni kwenye bonde la mto Ruvu na maji ni uhakika kutokana na mto ruvu

0713926364
 
NJOO NIKUKODISHIE ENEO mpakan mwa kibaha na kisarawe panaitwa musese ni center kabisa,maji kibao tena ya bure kuna jamaa kapga green house huku balaa za nyanya na ufuta,nicheki 0624078252 AU 0764726071
Bei ya kukodi ikoje? Na mazao gani maeneo hayo?
 
eneo limebaki 37+37 mazao huku n matikiti,viazi,mihogo,karanga,kunde,mahindi. UFUGAJI PIA.
 
Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
 
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
Gharama bei gani za kuwarudishia na wamepanda mazao gani.
 
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
nipe no mkuu tafadhali
 
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
Nipeleke dada hata kesho?
 
Njoo nikukodishie shamba ambalo lipo tayari limetifuliwa na kulimwa wewe unaanza kupanda mbogamboga zako unazo hitaji mkuu..lipo Bagamoyo Mtoni kwenye bonde la mto Ruvu na maji ni uhakika kutokana na mto ruvu

0713926364

Mkuu apo mtoni unakodisha kwa bei gan na naweza kupata eka mpaka ngap nikihitaji??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom