DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,381
- 98,832
Wengi tunafanya ivyo, mafundi want nachukua iringa na morogoroSasa kama ni hivo kwanini nisiende mkoani nikaja na fundi wangu wa bei ya 1.5 kuliko wa hapa dar bei ghali?
Wengi tunafanya ivyo, mafundi want nachukua iringa na morogoroSasa kama ni hivo kwanini nisiende mkoani nikaja na fundi wangu wa bei ya 1.5 kuliko wa hapa dar bei ghali?
Hii nyumba Ina 4bedrooms, room zote Ni self, public toilet 1, master bedroom 1, jiko, dinning.Sasa kama ni hivo kwanini nisiende mkoani nikaja na fundi wangu wa bei ya 1.5 kuliko wa hapa dar bei ghali?
Hii mnaita nini - COPY AND TEST au TASTE au PASTE, which is which! Sasa kwa hii michoro unataka ulipwe kiasi gani?View attachment 1836431
FLOOR
View attachment 1836434
BATI
View attachment 1836436
MSINGI
View attachment 1836437View attachment 1836438
MBELE NYUMA
View attachment 1836439View attachment 1836441
KUSHOTO KULIA
Sihitaji hela ila hapo garage anaweza ifanya iwe Bedroom. akaendelea na maisha.Hii mnaita
Hii mnaita nini - COPY AND TEST au TASTE au PASTE, which is which! Sasa kwa hii michoro unataka ulipwe kiasi gani?
no séExijo saber qué hechicería es esta
Mkuu ikiwa kwa design za ukuta usioonyesha bati au concrete roofing inakuwaje?View attachment 1836431
FLOOR
View attachment 1836434
BATI
View attachment 1836436
MSINGI
View attachment 1836437View attachment 1836438
MBELE NYUMA
View attachment 1836439View attachment 1836441
KUSHOTO KULIA
Duuh mbona kali asee....haya matofali ni ya udongo gani magumu hivi??Hii nyumba Ina 4bedrooms, room zote Ni self, public toilet 1, master bedroom 1, jiko, dinning.
Boma- fundi kachukua 1.2m
Bati+ufundi- imekula 8million
Tofali zimeondoka za 3mil.
Milango + dirisha ya chuma, imeondoka 2mil.
Nyumba imejengwa Morogoro from January to may.
Boma- limeinuliwa kwa kutumia tope.View attachment 1836499View attachment 1836501View attachment 1836502
Sijui kwa kweli. Sisi huwa tunawapa mafundi ramani, wanakutolea kitu kimesimama.Mkuu ikiwa kwa design za ukuta usioonyesha bati au concrete roofing inakuwaje?
Hata contemporary sio mbaya piaSijui kwa kweli. Sisi huwa tunawapa mafundi ramani, wanakutolea kitu kimesimama.
Unaendelea na maisha.
Labda kama unataka nikutafutie zenye bati contemporary. Zipo nyingi tu.
Anajua maana ya master's bedroom basi? Mtu katoka Lupaso juziHuwezi kuwa na vyumba viwili master’s bedroom in the same house. Sema master’s bedroom na ensuite moja.
Wewe mwenye maajabu chora mwenyew au tafuta fundi mchundo au ingia google tafuta utakayo tembea mbele ila ramani ya laki labda kama ni msaada sawaTatizo ni budget. Kama mtu angekuwa na pesa, angeajiri tu contractor akamaliza kazi.
Tatizo la vijana wengi wachora ramani, hawana maajabu halafu gharama kubwa.
Tumia hii mwayegoAtakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama atapewa kipaumbele.
Nina 15m nataka kujenga angalu nifike 75%.
Udongo mfinyanzi afu yamechomwa.Duuh mbona kali asee....haya matofali ni ya udongo gani magumu hivi??
Yo kali aseeUdongo mfinyanzi afu yamechomwa.
Afu very cheap, 150tsh@pc mpaka linafika site.Yo kali asee
Punguza hasiraWewe mwenye maajabu chora mwenyew au tafuta fundi mchundo au ingia google tafuta utakayo tembea mbele ila ramani ya laki labda kama ni msaada sawa
Kam uko seriouz njoo tufanye biasharaAtakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama atapewa kipaumbele.
Nina 15m nataka kujenga angalu nifike 75%.
Atakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi.
Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko na sebule. DESIGN yake iwe simple ili nitumie gharama kidogo.
Atakayeweka na makisio ya gharama atapewa kipaumbele.
Nina 15m nataka kujenga angalu nifike 75%.