M m4cjb JF-Expert Member Jul 23, 2012 7,697 2,269 Oct 15, 2017 #1 Wadau nahitaji pumba za mahindi,mwenye msaada wa kujua zinapatikana wapi na kwa gharama zipi snipe tafadhali
Wadau nahitaji pumba za mahindi,mwenye msaada wa kujua zinapatikana wapi na kwa gharama zipi snipe tafadhali
bepari la kichaga JF-Expert Member Dec 21, 2014 519 503 Oct 15, 2017 #2 Mashine za kusaga unga kwan ww upo wap
K KIDUNDULIMA JF-Expert Member Aug 18, 2010 966 537 Oct 15, 2017 #3 nende mazenze karibu na soko la tandale
Mandison Senior Member Mar 10, 2017 191 109 Oct 15, 2017 #6 Kimara mwisho ulizia pale kuna sehemu wanauza pumba kwa bei nzuri, chini ya 25,000/-