Hata chini ya hapo, gari inayouzwa Japan hadi 30000Ina maana Porte namba D unaweza kuipata Kwa milion 5?
Ukienda show room unapata Porte Kwa milion 12 - 13.5 sasa Kwa bei ya milion 5 sidhani kama utapata alafu namba D?
Zipo mkuu akitulia anapata usimkatishe tamaa, hizi gari zimeshuka sana bei siku hiziUkienda show room unapata Porte Kwa milion 12 - 13.5 sasa Kwa bei ya milion 5 sidhani kama utapata alafu namba D?
Anapata bila shida. .zile gari hazina best resale value ukilinganisha na IST au Raum..Ukienda show room unapata Porte Kwa milion 12 - 13.5 sasa Kwa bei ya milion 5 sidhani kama utapata alafu namba D?
Habari , nahitaji porte cc kuanzia 1280 , plate number ianzie D ofa yangu ni milioni 5 cash , nione inbox kwa maongezi zaidi ,
Isiwe imerudiwa rangi wala kupata ajali .
IST na raum hayana shida hata kidogo hata ukikuta namba B au C hakuna mashaka Ila Porte na Ractis ni changamoto kidogo hasa Kwenye body na engineAnapata bila shida. .zile gari hazina best resale value ukilinganisha na IST au Raum..
Na isitoshe namba D si tatizo...Unaweza ukapata Namba D imechoka na mwingine akawa na namba C imetunzwa vuri sana...
Kwa hiyo mleta mada nakushauri usiegemee kwenye namba D...utapigwa...tafuta namba Yoyote B, C au D yenye hali nzuri kulingana na bajeti yako....japo sina uhakika sana kama porte zipo za namba B
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana hilo neno Japan hukuliona au umekurupukaHebu niwekee gari yenye CIF ya elfu 30 hapa,nikutumie vocha ya 20,000 chap chap.
NikweliZipo mkuu akitulia anapata usimkatishe tamaa, hizi gari zimeshuka sana bei siku hizi
namba B hakunaga zipo C , kuna C nimeoneshwa ila sijaipenda sana , ila nkitulia ntapata gari .IST na raum hayana shida hata kidogo hata ukikuta namba B au C hakuna mashaka Ila Porte na Ractis ni changamoto kidogo hasa Kwenye body na engine
A
Jana nimepishana na IST namba B....kuna mwenzangu anamiliki Raum namba B....ila ni zile B za mwisho mwisho zinazokaribia C...namba B hakunaga zipo C , kuna C nimeoneshwa ila sijaipenda sana , ila nkitulia ntapata gari .
Jana nimepishana na IST namba B....kuna mwenzangu anamiliki Raum namba B....ila ni zile B za mwisho mwisho zinazokaribia C...
B zipo na kuna watu wamezitunza zina hali nzuri kuliko hata baadhi ya C na D
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukienda show room unapata Porte Kwa milion 12 - 13.5 sasa Kwa bei ya milion 5 sidhani kama utapata alafu namba D?
Porte namba B hakuna zinaanzia C