Nahitaji partner kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama (broiler)

Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.

Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.

2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.

Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.

13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo

Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.

Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.

Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
Wacha kupotosha umma hakuna broiler anaeuzwa baada ya wiki mbili
 
Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.

Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.

2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.

Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.

13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo

Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.

Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.

Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
Kwenye chakula si chini ya elfu sitini mfuko, kwa kuku 2000 wakienda vizuri wanakula mifuko si chini ya 64, chukua 64000×64, ni Zaid ya 3M, acha kufurahisha watu na mahesabu ya haraka haraka, alafu wasipoenda vizuri utalisha chakula hadi uchizike, means wanaweza kula mifuko 80+ sasa chukua 60000 uzidishe kwa 80,

Nachotaka kusema ni kwamba biashara ya broiler ni nzuri na inahela lkn inahitaji pia mtaji wa kutosha uwe na hela ya kutosha ya chakula na dawa,

Hapo ukichelewa tu kuwapa dawa, nakwambia unaweza okota kuku nusu banda
 
Nani kakudanganya kuku 2000 wanakula viroba 30!!!, kaka mimi nafuga uwezo wangu ni broiler 600 na hao nawatoa kutegemea na soko lilivyo muda huo, kama soko ni zuri nawatoa kuanzia siku 24/25 na hapo wanakuwa weshakula viroba mpaka 22, lakini ukivuta mpaka siku 28 wanakula mpaka viroba 24, baada ya hapo anza kuhesabu maumivu, kwa kuwa bei za mbagala na maeneo ya karibu yake kuku hafiki sh 6000/= mwisho ni 5700/ 5800, kuhusiana na madawa pia si kweli kuku 2000 watumie 50k.
Aliyekupa hiyo hesabu kakupoteza.
Mimi nawafuga broiler nawajua kiasi, hao wadudu wakifika wiki ya tatu wanakula mpaka waweza changanyikiwa, kwangu wakifika muda huo lazima wadondoshe kiroba kila siku.
Msameheni huyu kachizika
 
Kwenye ujenzi wa mabanda umechemka ndugu yangu.kwa kawaida banda la kuku linatakiwa liwe na Kazi mbili tu zA tofali
Salaaams wanajukwaa, poleni na majukumu.

Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye uwezo wa kuingiza kuku (BROILER) 6000.

Partner anahitajika aweke BROILER kuanzia 2000 kwa kuanzia mradi, na kadri siku zinavyoenda tutakua tukiongeza hadi kufikia kuku 6000.

Mimi natoa mtaji wa mabanda pamoja na uzoefu wa ufugaji, usimamizi wa mradi, pamoja na uzoefu wa soko. PATNER atatoa mtaji wa kuku 2000, chakula pamoja na madawa.

Mradi upo Kijichi / Mbagala kuu, kando ya barabara.

FAIDA TUTAGAWANA 50% by 50%.

Kwa aliye serious karibu tushirikiane kwenye ufugaji kibiashara.

MAWASILIANO -Call : 0787480826
-Whatsap : 0763708877


KARIBUNI.

View attachment 1758047
View attachment 1758048
View attachment 1758049
View attachment 1758050
View attachment 1758051
View attachment 1758052
View attachment 1758053
View attachment 1758054
View attachment 1758055
View attachment 1758056
View attachment 1758057
View attachment 1758058
View attachment 1758059
View attachment 1758060
View attachment 1758061
 
Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.

Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.

2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.

Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.

13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo

Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.

Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.

Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
kuku 2000 hawawezi kula viroba 30, kuku mmoja mpake awe wa kuuza anakula kilo 2.8-35, weka tu 3kg mara kuku 2000 ni kilo 6000, kiroba kimoja ni kilo 50, so hapo ni viroba 120 zidisha na bei ya chakula 65,000 wastani pamoja na usafiri = 7,800,000 hujaweka bei ya mtunzaji, Mbwa lazima uwe naye na pia maji utapataje lazima uwe na pump (umeme+mafuta, kuku 400 wanakunywa lita 100-140 za maji safi) na pia 10% ya kuku tegemea watakufa au kudumaa au watachelewea kufikia angalau kilo 1. kuna kazi nyingine ngumu sana ya kunyonyoa, usikubali wanyonyoaji waondoke na vichwa, miguu, utumbo nafirigisi bora uwalipe sh100-200 kwa kila kuku. LAZIMA UWE NA FRIGI KUBWA

Ki uhalisia biashara ya kuku wakati huu utalii umepungua huwezi pata faida kwenye nyama tu kwa bei ya 6500 lazima iwe juu ya hapo, faida utaipata kama utaweza kupata mnunuzi mzuri wa vichwa, firigisi(gizard), miguu na utumbo na vyote uza si chini ya sh 1000 hapo utapata sh2,000,000 na labda itaziba hasara ya kuku au kuongezea faida kidogo ya nyama ya kuku. hii biashara ya vichwa, utumbo, gizzard na miguu nenda soko koo na soko mjingajinga utapata wamama wanaipenda sana, kaa na namba zao za simu na uwe unawapa taarifa mapema siku ukichinja.
 
Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.

Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.

2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.

Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.

13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo

Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.

Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.

Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
Kuku 2000 wanakula mifuko 60 kwa wiki 4

Lakini pia bado unafurahisha sana, yaani operating costs unazopiga wewe ni chakula na dawa tu halafua una calculate na kupata faida

Labour?
Maji?
Feed transport?
Mortality?
Security?
Deliveries?
Management?
Market delay?

Hivyo vyote kwenye project yako havipo
Trust me, unafanya biashara ya kwenye makaratasi na haitokufiksha popote

Nina uzoefu katika biashara hiyo, ukihitaji masaada kimawazo nirudie nitakusaidi free of chaege, achana na broiler farming unless una contract na mnunuzi
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hapo kwenye 2M + 1.9M =4m sijaelewa ni hesabu za darasa la ngapi.


Kule juu umesema kuna 4milion ambayo ni manunuzi ya vifaranga. Haya hiyo 2 milioni na 1.9 milioni ni kitu gani tena ambacho kimekuja kuwa sawa na 4milion?!

Jambo jingine.... Wewe hiyo 50% by 50% share ya mtaji na mapato umetumia vigezo gani king'amua hiyo partnership?!

Hebu fafanua, banda lako hapo lina monetary value ipi, wafanyakazi au wasimamizi...

Yaaani wewe katika hiyo 50%share umejievaluate vipi. It seems umekwama kifedha na upo desperate na mtaji wa pesa zaidi.

Na haujaweza kujua thamani ya pesa ilivyokubwa katika biashara yako hiyo. Nakushauri uje kivingine.....

Ikitokea loss jua kitakachopotea ni pesa ila sio mabanda wala hivyo vyombo vya kuku au wewe utakaekuwa una manage biashara.

Nadhani hii biashara imekaa ki Marger zaidi au ki acquisition. Yaani aje mtu na milioni nane zake hapo kisha mkae meza kuu mpange namna ya kuifanya biashara na yeye ajue ata profit wapi....
 
Hayo mabanda Mbona kama yameziribwa sana, kipindi joto likiwa kali mnafanyaje?
Hamna mabanda hapo. Banda la kuku linajitaji mzunguko wa hewa na yeye amejenga kama godown. Ugonjwa ukiingia hapo say kuharisha haponi hata kuku mmoja.

Pia issue ya madawa ame underrate sana. Broilers wana chanjo za lazima achilia mbali wakiumwa. Nina uzoefu wa ufugaji mwaka wa 15 sasa na nazijua changamoto zote
 
Kuku wa nyama sio mchezo mimi Sahiv nimepumzika kidogo, maana hii. Kitu ni pasua kichwa
 
Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.

Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.

2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.

Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.

13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo

Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.

Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.

Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
Wapi huko unauza broiler kwa 6500??.....sana sana bei kubwa utakayouza ni shs 6000. Chakula mfuko ni 61,000 - 64,000 per 50kg bag.
 
Back
Top Bottom