Nahitaji partner kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama (broiler)

Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008

Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta

Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata

Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni

Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
 
Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008

Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta

Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata

Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni

Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
Hahaa!

Daah nimecheka sana mkuu.

Broiler lazima ujipange kwenye msosi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008

Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta

Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata

Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni

Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
Hahahaha kwa hyo kuku kwa hasira ya kutowapa chakula wakaona Bora wakukule mfugaji

Wengi hawajipangi katika ufugaj unapoamua kufuga piga hesabu ya madawa chakula had siku ya mavuno

Chakula+ dawa = ndio mzigo mkuu kwa mkulima

Unaweza fanikisha hayo yote soko nalo likawa hovyo

Ufugaji unahtaj timing Sana hasa kwa kuku

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nataka niwekeze na mleta uzi, tufuge paka hawana gharama, fanya tafiti uniletee hesabu
 
Kwenye ujenzi wa mabanda umechemka ndugu yangu.kwa kawaida banda la kuku linatakiwa liwe na Kazi mbili tu zA tofali
Hili sio banda ni godown...hewa haingii,halafu kwenye cost mhh..sio realistic kabisa,jamaa kachagua upande ambao cost ni costant..ila upande wa cost za chakula ni kubwa mno...
HII DILI LABDA UMUOTEE MSTAAFU ANAWEZA KUKURUPUKA!
 
Hili sio banda ni godown...hewa haingii,halafu kwenye cost mhh..sio realistic kabisa,jamaa kachagua upande ambao cost ni costant..ila upande wa cost za chakula ni kubwa mno...
HII DILI LABDA UMUOTEE MSTAAFU ANAWEZA KUKURUPUKA!
Hata wastaafu nao wanastuka siku hizi...
 
Yah maana wastaafu wa siku hizi unakuta mtu anakaa 2yrs hajapata mzigo so hawezi kuchezea pesa..
 
Ila mimi nashauri hawa broiler ukimaliza kuwapa grower rudia tena kuwapa starter, achana kabisa na finisher mtakuja kunishukuru.

Tena chakula cha mchina ndio chenyewe hakuna harufu ya kinyesi wala huwezi kugombana na majirani.

Achana na vyakula wanavyoweka chumvi eneo lote linanuka kinyesi cha kuku.
Mkuu Nahitaji kuteta nawe pembeni

Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ila mimi nashauri hawa broiler ukimaliza kuwapa grower rudia tena kuwapa starter, achana kabisa na finisher mtakuja kunishukuru.

Tena chakula cha mchina ndio chenyewe hakuna harufu ya kinyesi wala huwezi kugombana na majirani.

Achana na vyakula wanavyoweka chumvi eneo lote linanuka kinyesi cha kuku.
Hii mbinu ushawahi itumia Mkuu,vipi matokeo yake yalikuaje?
 
Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008

Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta

Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata

Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni

Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
 
Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.

Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.

2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.

Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.

13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo

Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.

Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.

Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
Hizi hesabu huendelea kubaki kwenye makaratasi lakini uhalisia hutokaa uuone.
 
Back
Top Bottom