Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,816
- 4,803
Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008
Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta
Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata
Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni
Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta
Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata
Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni
Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu