Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,115
- 2,490
Salaaams wanajukwaa, poleni na majukumu.
Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye uwezo wa kuingiza kuku (BROILER) 6000.
Partner anahitajika aweke BROILER kuanzia 2000 kwa kuanzia mradi, na kadri siku zinavyoenda tutakua tukiongeza hadi kufikia kuku 6000.
Mimi natoa mtaji wa mabanda pamoja na uzoefu wa ufugaji, usimamizi wa mradi, pamoja na uzoefu wa soko. PATNER atatoa mtaji wa kuku 2000, chakula pamoja na madawa.
Mradi upo Kijichi / Mbagala kuu, kando ya barabara.
FAIDA TUTAGAWANA 50% by 50%.
Kwa aliye serious karibu tushirikiane kwenye ufugaji kibiashara.
MAWASILIANO -Call : 0787480826
-Whatsap : 0763708877
KARIBUNI.
Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye uwezo wa kuingiza kuku (BROILER) 6000.
Partner anahitajika aweke BROILER kuanzia 2000 kwa kuanzia mradi, na kadri siku zinavyoenda tutakua tukiongeza hadi kufikia kuku 6000.
Mimi natoa mtaji wa mabanda pamoja na uzoefu wa ufugaji, usimamizi wa mradi, pamoja na uzoefu wa soko. PATNER atatoa mtaji wa kuku 2000, chakula pamoja na madawa.
Mradi upo Kijichi / Mbagala kuu, kando ya barabara.
FAIDA TUTAGAWANA 50% by 50%.
Kwa aliye serious karibu tushirikiane kwenye ufugaji kibiashara.
MAWASILIANO -Call : 0787480826
-Whatsap : 0763708877
KARIBUNI.