Nahitaji Partner kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama (BROILER)

Premij canoon

JF-Expert Member
May 27, 2018
1,115
2,490
Salaaams wanajukwaa, poleni na majukumu.

Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye uwezo wa kuingiza kuku (BROILER) 6000.

Partner anahitajika aweke BROILER kuanzia 2000 kwa kuanzia mradi, na kadri siku zinavyoenda tutakua tukiongeza hadi kufikia kuku 6000.

Mimi natoa mtaji wa mabanda pamoja na uzoefu wa ufugaji, usimamizi wa mradi, pamoja na uzoefu wa soko. PATNER atatoa mtaji wa kuku 2000, chakula pamoja na madawa.

Mradi upo Kijichi / Mbagala kuu, kando ya barabara.

FAIDA TUTAGAWANA 50% by 50%.

Kwa aliye serious karibu tushirikiane kwenye ufugaji kibiashara.

MAWASILIANO -Call : 0787480826
-Whatsap : 0763708877


KARIBUNI.

IMG_0817.jpg






IMG_0816.jpg

IMG_0810.jpg

IMG_0808.jpg

IMG_0801.jpg

IMG_0800.jpg

IMG_0784.jpg

IMG_0785.jpg

IMG_0794.jpg

IMG_0805.jpg

IMG_0809.jpg

IMG_0811.jpg

IMG_0813.jpg
 
Salaaams wanajukwaa, poleni na majukumu.

Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye uwezo wa kuingiza kuku (BROILER) 6000.

Partner anahitajika aweke BROILER kuanzia 2000 kwa kuanzia mradi, na kadri siku zinavyoenda tutakua tukiongeza hadi kufikia kuku 6000.

Mimi natoa mtaji wa mabanda pamoja na uzoefu wa ufugaji, usimamizi wa mradi, pamoja na uzoefu wa soko. PATNER atatoa mtaji wa kuku 2000, chakula pamoja na madawa.

Mradi upo Kijichi / Mbagala kuu, kando ya barabara.

FAIDA TUTAGAWANA 50% by 50%.

Kwa aliye serious karibu tushirikiane kwenye ufugaji kibiashara.

MAWASILIANO -Call : 0787480826
-Whatsap : 0763708877


KARIBUNI.

View attachment 1758003





View attachment 1758006
View attachment 1758008
View attachment 1758011
View attachment 1758012
View attachment 1758013
View attachment 1758014
View attachment 1758015
View attachment 1758016
View attachment 1758017
View attachment 1758019
View attachment 1758020
View attachment 1758021
Mm naomba msaada kwa nyie ambao mnauzoefu na ufugaji wa kuku wanyama mm ndio nataka kuanza kfuga kwahyo nahitaji muongozo wenu nataka kuanza na kuku 200 naomben mchanganuo hapo wa kila ktu
 
Mm naomba msaada kwa nyie ambao mnauzoefu na ufugaji wa kuku wanyama mm ndio nataka kuanza kfuga kwahyo nahitaji muongozo wenu nataka kuanza na kuku 200 naomben mchanganuo hapo wa kila ktu
Kuku mmoja 2000 *200
Kwa kuku mia mbili wanakula gunia 8
Starter saizi 71000
Grower 69000
Finisher 68000
Chanjo weka kama 50000
Maranda ya 10,000
Umeme na maji kwa mwezi 30,000
Usafiri wa vyote 30,000 inategemea na ulipo
Haya piga hesabu hapo.
 
Wakuu nahitaji mbolea ya kuku nifanye kilimo cha bustani
Mi nikiipata naiweka kwenye biogas inanizalishia kwanza gas halafu ile mbolea inaishia shamba
 
Kuku mmoja 2000 *200
Kwa kuku mia mbili wanakula gunia 8
Starter saizi 71000
Grower 69000
Finisher 68000
Chanjo weka kama 50000
Maranda ya 10,000
Umeme na maji kwa mwezi 30,000
Usafiri wa vyote 30,000 inategemea na ulipo
Haya piga hesabu hapo.
Kwani kifaranga cha broiler kinauzwa tsh. ngapi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom