Ni Kama Njiwa Manga(Mweupe tupu) au Fungo(Mweusi tii) wanatumika kwenye ushirikina.Kwann wazo lako la kwanza limeangukia kwenye ushirikina.!?
Yupo mkuu ninayeHusika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji paka mwepe asiye na doa la rangi yeyote ile. Kama unaye au ukanipa connection ya kuweza kumpata tuwasiliane kupitia simu no:
Kwa wakazi wa Dar.. Ili iwe rahisi usafiri ktj kufanya biashara.
Ndo tabia zake.Kwann wazo lako la kwanza limeangukia kwenye ushirikina.!?