Nahitaji nyumba ya kupanga

MIUNDOMBINU

JF-Expert Member
Apr 14, 2010
465
96
Mimi natafuta nyumba maeneo ya Kijitonyama, Sinza, Mwenge, Msasani, Kinondoni, Iwe ya vyumba viwili vya kulala, siting room, bafu, choo na Jiko fesi na mahali pa kulaza gari. Gharama isizidi sh. 250,000 kwa mwezi. Nipo tayari kulipia kwa miezi sita
TEL 0717 650750
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom