buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,069
- 6,075
Salaam wakuu.
Kuna shughuli imepatikana kufanyikia Dar Es Salaam. Inahitajika nyumba nzima yenye vyumba 3 vya kulala sebure, jiko na iwe na uzio. Iwe rahisi kufikika na usafiri wowote isiwe ndani ndani sana.
Kodi iwe kuanzia 500k to down.
Madalali naomba mnisamehe hela yenu sina Napendelea wamiliki wenyewe maana shughuli ni maalumu sana.
Kama kuna mmliki mwenye nyumba hiyo naomba anitafute kwa namba hiyo hapo chini.
Tahadhari USIPIGE tumia SMS au WhatsApp.
0762179938 (WhatsApp).
0674758576 (SMS).
Ahsante sana.
Sinza pia nipo tayari.
Kuna shughuli imepatikana kufanyikia Dar Es Salaam. Inahitajika nyumba nzima yenye vyumba 3 vya kulala sebure, jiko na iwe na uzio. Iwe rahisi kufikika na usafiri wowote isiwe ndani ndani sana.
Kodi iwe kuanzia 500k to down.
Madalali naomba mnisamehe hela yenu sina Napendelea wamiliki wenyewe maana shughuli ni maalumu sana.
Kama kuna mmliki mwenye nyumba hiyo naomba anitafute kwa namba hiyo hapo chini.
Tahadhari USIPIGE tumia SMS au WhatsApp.
0762179938 (WhatsApp).
0674758576 (SMS).
Ahsante sana.
Sinza pia nipo tayari.